Sehemu ya Kuwepo!

15 Oct

Familia ya mwanamuziki Nguza Viking iliyofungwa kifungo cha maisha kwa kosa la kubaka,ilipewa ruhusa ya kutumbuiza jana kwenye siku ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Mlm Julius Nyerere.
Nguza Viking pamoja na mtoto wake,Papii Kocha,walitumbuiza takribani nyimbo tatu huku wakiwapagawisha wafungwa wenzao.
Hali hii inaonekana ya kwamba sasa nchi yetu inaanza kuwapa uhuru wafungwa ambao nao wanahitaji hata burudani wakati mwingine….
Waliweza kutunzwa vitu mbalimbali pamoja na duka La nguo la Zizou liliwazawadia mafulana ikiwa ni moja ya zawadi.
14 Oct

Msanii chipukizi nchini anayetamba na muziki wa Mchiriku,Dogo Mfaume yupo mbioni kukamilisha albam yake ya kwanza itakayoitwa ‘Kazi Ya Duka.
Dogo Mfaume anayetamba na wimbo ‘Kazi ya Duka’ ameahidi kurudisha muziki wa ‘Mhciriku’ ulioonyesha kupoteza Dira….
10 Oct
10 Oct
10 Oct
9 Oct

Wanamuziki wa kizazi kipya ambao ni Mandojo na Domokaya,Mambo Jambo pamoja na Dudu Baya kwa pamoja wanaunda bendi iitwayo Mzuka Band ambayo itakuwa mzuka kama jina la bendi hiyo,Inatarajiwa kuzinduliwa jumamosi hii ndani ya Bahari Beach.
8 Oct
8 Oct
Ndivyo walivyokuwa wanalalamika,wamechukuliwa hospitali waliojenga kwa nguvu zao,ni haki jamani hii?Umasaini huko,Watanzania wenzetu wanataka haki zao…
8 Oct

Tarehe rasmi za lini tamasha la sauti ya Busara imetangazwa rasmi na inatarajia kufanyika kuanzia tarehe 12 mpaka tarehe 17 mwezi wa pili huko Zanzibarhe.
Tamasha hilo litakuwa bure kwa mtu yeyote atakayejisikia kuhudhuria kuanzia asubuhi mapka jioni.
Mbali na hayo wanasanaa mia nne wanatarajia kushiriki kwenye tamasha huilo na wanamuziki arobaini wanaochipukia kutoka nchini.
Tamasha hili ni la sita kufanyika nchini.
Recent Comments