Angalia Bongo

Sehemu ya Kuwepo!

Angalia Bongo is Sponsored by

 

Tumekumiss Top In Dar

1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
Loading ... Loading ...

Tumekumiss sana mzee wa zeze,Hope unaendelea vizuri na maisha ya gerezani,Tunakuombea umalize kifungo chako ili uje kuturushia mawe kama kawaida.We mkali…

  • 2 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • gerrald na uncle ndani ya london

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...


    gerrald kazinja akiwa na uncle wake wakila bata ndani ya london baada ya kuchomwa sana na jua la bongo,kaka karibu ulimwenguni

  • 1 Comment
  • Filed under: Angalia Bongo
  • shaban othman aka suka aki show luv na zamaradi

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...


    msanii wa bongo flavour suka ambaye aliwai kutoa song linalokwenda kwa jina la mipasuo akitumia beat ya mwana fa yuko kimya sana kiasi cha mashabiki wake kuulizia vipi atarudi tena au ndio game la moto?kwa taarifa ambazo ninazo ni kuwa suka ana mawe kadhaa ambayo amefanya ila yako kapuni na kwa sasa anafanya music kama burudani kwa kuwa tu uko kwa damu,huyu ndio othman shaaban aka suka

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • msaniii bora wa kike wa maigizo bongo

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...


    msanii riyama ameonekana kuwa msanii bora wa kike kwa siku za usoni baada ya kufanya vizuri katika uigizaji wa filamu bongo kwa kuwa na mvuto na kila kitu msanii huyo malisema atazidi kukomaa adi kieleweke kwani sanaa ndio maisha yake na si kingine

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • chege chigunda na manyema family kwa mj

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...


    said juma au chege mtoto wa mama said kutoka kundi la wanaume tmk linaloongozwa na amani temba au mheshmiwa temba toka kiumeni ameamua kufanya kazi na wasanii wa kundi la manyema family ambako chege alitokea kabla ya kwenda kiumeni,wameingia katika studio za mj na kufanya pini linalokwenda kwa jina la longtime linalomaanisha zamani wakati wako pamoja chege anazidi kufanya vizuri pamoja na kundi la wanaume family wakiwa hewani na wimbo wao wa umri

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Stara back again collabo na chi,chi,chid wa la familia

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...


    msaniii wa kike stara thomas mwana zouk maarufu nchini tanzania ameamua kurudi tena na kuamua kufanya kazi na chidy benz wa la familiah stara aliseama ujio wake uko sawa na kuwakandamiza wapinzani na wasanii wasio halisi katika game kwani mkongwe ni mkongwe na hakuna wa kubana,chidi ni mkali wa collabo mwaka 2008 2009 alina ubishi kutokana na kazi alizofanya
    la familia 4rever

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • nafanya music kama talent na sio kazi

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...


    msanii haji noorah maarufu kama noorah amesema atazidi kujikita kimasomo zaidi baada ya kugundua kuwa mziki haulipi kivile kwani kazi anazofanya ni tofauti na malipo ambayo anapata so ameamua kusoma zaidi kama afanyavyo mdogo wake ibrah noorah ambaye yuko st joseph college uko mbezi dar es salaam tanzania kila la kheri noorah

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • babu nje ya tmk wanaume halisi

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...


    inspector haroun aka tripple 5 aka babu aliyekuwa muasisi wa kundi la wanaume halisi amejitoa kwa kundi hilo na kuamua kuwa solo artist,amedai kuwa kisa au sababu ya kujitoa ni maslahi hayaridhishi na pia washabiki wake wanaulizia zaidi kazi zake binafsi huyu ndio inspector wa haroun

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • nakaaya sumari aomba kura zenu

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...


    yule msanii wa kike kutoka tzee nakaaya sumari anaomba kura zenu watanzania ili awze kuibuka kidedea katika tuzo za kisima zifanyikazo huko nchini kenya,dada huyo yuo katika category na nyimbo bora ya mwaka kutoka Tanzania,mr politician si unaikumbuka sasa unasubiri nini piga kura tumtoe dada

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Rama mkalikwanza akiwakilisha bday ya lucy lawrence!

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...


    happy bday lucy wish longlife with full joy tuko pamoja 4life

  • 2 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • About Angalia Bongo

    Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...I would apreciate İf you can call me SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with my desicions, without forgeting İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian.Love friends and believe to DİE with something as İ was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me. Thanks for passing by xoxox..... Read More

    Have Your Say

    How Is our Website?

    View Results

    Loading ... Loading ...

    GrooveBack



    Disco bora na la kijanja nchini, pekee linalowahusisha waliokuwapo, waliopo na wanaotaka kujua kilichotokea