About Angalia Bongo
Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with what is on my mind..İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian... Love friends and believe to DİE with something as was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me.Anyting contact;angaliabongo@yahoo.com Thanks for passing by xoxox..... Read More
Sikiliza BongoFlava
Blogroll
- Africa Bambataa
- Afrojam
- Anh Vu
- Blazing Zone
- Bongo Celebrity
- Bongo Star Link
- Candy World
- Changamoto
- Dee
- Dina Marios
- Fashion Junkii
- Jamii Forums
- Jiachie
- John Kitime
- Karibu Nyasa
- Kisima Cha Fikra
- Kulikoni Ughaibuni
- Ladies Stuff
- Loveness Luv
- Maisha na Mafanikio
- Matukio UK
- Mtaa Kwa Mtaa
- Sauti za Bongo
- Shamim
- Sheria na Mavazi
- Simon
- Subi
- Swagga Bovu
- Total Knockout
- U-TURN
- Viva Afrika
Latest Headlines
-
Yupo mzima na bukheri wa afya
Posted on April 10, 2009 | 1 CommentMnajimu maarufu Afrika Mashariki na Mtabiri wa nyota ,Sheikh Yahaya Hussen aliteta na waandishi wa habari na kutoa hofu na maneno yaliyokuwa yamezagaa ya kwamba Shehe huyo ameiaga dunia.Pichani akiwa na mkewe,Ketty.source:Mzee wa Sumo Share and Enjoy: -
Ni Ijumaa Kuu
Posted on April 10, 2009 | No CommentsSiku ya leo ndugu zangu Wakristu tupo kwenye mahuzuniko makubwa kwa mkombozi wetu Yesu Kristo anakufa kutokana kukubali kubeba msalaba wa dhambi zetu.Tunatakiwa tukae na tutubu dhambi tulizowahi zifanya na kuzitenda….bila kusahau Nyama mwiko leo jamani! Share and Enjoy: -
Alichofanya TID ni sahihi?
Posted on April 8, 2009 | 6 CommentsKila mtu anaongelea lake na nimeona niliweke mezani ili wadau muweze kuzungumzia jambo hili.Mwanamuziki TID alipanda jukwaani siku ya utoaji wa tuzo za Kili na baada ya hapo kuna mambo aliyafanya ambayo watu wamekuwa wanaongelea tofauti.Jambo la kwanza,TID alitoka stejini na wkenda kucheza kwenye meza... -
Mpe moyo!
Posted on April 8, 2009 | No CommentsHiki ndicho kipaji cha binti Sia Muro,anahitaji moyop ili kuweza kufikia levo za Serena na dada yakeSia akiwa mazoezini,anaamini Tenis ndiyo mchezo bora anaoupenda na anaouweza.. Share and Enjoy: -
Mjue Pipi kutoka THT
Posted on April 8, 2009 | No CommentsKila mtu anamuita Pipi na yeye pia anapendwa kuitwa hivyo na ndiyo maana leo hii kila mtu anamju7a kwa jina la Pipi…Jina lake kamili ni Doreen Ponera na amejulikana kutokana na kushirikishwa kwenye wimbo wa ‘Njia Panda’ ulioimbwa na Barnabas…Pipi ana kipaji na kwa sasa... -
Karume Day,Chid,Nakaaya kukamua
Posted on April 6, 2009 | No CommentsWasanii hawa wanatarajiwa kufanya show kwenye siku ya kumbukumbu ya aliyekuwa Rais wa Zanzibar, Amani Karume. Share and Enjoy: -
Shoo ya Chingy ilivyokuwa..
Posted on April 6, 2009 | No CommentsWatu waliridhika na show ya Chingy Wanamuziki wa kwetu nao waliiwezesha showChingy aliweza kupagawisha wakazi wa Dar Share and Enjoy: -
Mmh,Hoyce Temu hapa hapakuwa sipo.
Posted on April 6, 2009 | No CommentsAliitwa kwenda kugawa tuzo kwa msanii bora wa Afrika Mashariki,stori ilikuwa hivi,Hoyce alipanda jukwaani,Kumbuka kuna projrctor ambayo inataja nominees,sasa wakati projector inataja nominees wa category hiyo,Hoyce nae akakurupuka na kuaza kiuongea kwa mic na wakati alitakiwa afuate maelezo kutoka kwenye projector…Sidhani kama alikuwa hajui kwasababu... -
Tuzo za Killi zilivyokuwa
Posted on April 5, 2009 | 1 CommentChingy alicheza ‘Ngoma Itambae’ lol,sidhani kama alikuwa anelewa kitu,Hapo akimkabidhi tuzo Chid Benz kama msanii bora wa wimbo wa HiphopWimbo bora wa sili Dogo Mfaume alichukua tuzo na wimbo wake wa ‘Kazi ya Dukani’Mwakilishi wa Matonya akipokea tuzoKeisha muimbaji bora wa kike naye akipokea tuzo... -
Ni Zamu yangu-Bushoke
Posted on April 3, 2009 | No Comments“Watu walidai nimeshakufa kisanii,wengine sina jipya,lakini sikuweza hata kunyanyua mdomo wangu na kuwabishia kwasababu najua sasa Inawachoma”Bushoke…Mwanamuziki huyu anasema yupo juu na ataendelea kuwa juu,nyimbo zake ni nzuri na ndiyo kitu anachokifanya kinaeleweka.Bushoke anatarajia kujumuika na watu wa Bukoba hivyo anasema wakae tayari! Share and...
