Sehemu ya Kuwepo!

10 Mar
Mmoja bado yupo yupo,Mwingine Ndoa yake haina Doa!!!swali kwako…na wewe je?! mie bado nipo nipo sana tuu!!haha!!
10 Mar
Aaron (Dj Spın Doctor) na Arnold (presenter Clouds Fm) in saresare…lol, sijui walipanga watoke kihivi….Dozen, B12, Twangala…B what Ever in Light Purple..feeling İt?……..Some red in him…mmmh…what do you think?……AND here he comes İn blue blue…..
NANI KATOKA BOMBA ZAIDI?!!
9 Mar
The Memphis Grizzlies recalled center Hasheem Thabeet from the Dakota Wizards, the team’s NBA Development League’s affiliate, Grizzlies General Manager and Vice President of Basketball Operations Chris Wallace announced today…
Kwa habari zaidi;http://www.nba.com
9 Mar
King himself before Tİ, The Naughty B.İ.G leo anatimiza miaka 13 tokea kifo chake…It was 9.march 1997 alivyokata roho saa 1.15am baada ya kupigwa risasi saa 12.45..
Kiongozi wa Bad Boy,Puff Daddy ameandaa party kumuenzi B.I.G huko New York…
Muuaji wa Rapa huyu mpaka leo hajajulikana..Alizaliwa May 21.1972 akiwa na miaka 24 tu..Christopher George Latore Wallace ndio jina lake kamili..
9 Mar
For the first time it was on FRİDAY movie by İce Cube, he played a role of a gansta nigga ambaye anakuja kupigwa vibaya na İce Cube ambapo kila mtu anakua haamini…Remember ‘RİDİN’ by Chamillionare? basi ndani ya ile video hii sura itakujia vilevile..
Tommy Lister ndio jina lake halisi na he was born in June 24, 1958…Deebo ndio anajulikana zaidi kwa jina hilo..
Kabla ya kuwa actor, alikuwa mwana mieleka lakini akaamua kubadili fani na kuanza kucheza filamu..
Ana jumla ya filamu 140 alizocheza na ndani yake role nyingi kacheza kama m’babe…Jicho lake la kulia halioni kabisa, mmh mie nilidhani huwa anavaaga contact lenzzz kumbe mwenzetu kilema..
He got his family and inshort hes happy na familia yake kama mwenyewe anavyodai kutoka kwenye we moja….
Guess what? Deebo ameokoka na anampenda YESU, kwa sasa anafundisha watoto ndani ya kanisa la Calvary Christian Center huko Sacramento, California ikiwa moja kati ya shughuli zake za kawaida akiachana na uigizaji!
Thats Deebo…Maisha yake ya kawaida ni mtu mpole sana na anayempenda Mungu…mmh mimi nilikuwa namuogopa jamani kabla ya kujua na kusoma kuhusu maisha yake!
8 Mar
8 Mar
I just heard from a friend that Maunda Zorro, female vocalist from THT got a baby Boy, Nimejaribu kumchek lakini sikumpata but well here is salamu zangu..Hongera kwa kupata mtoto!!!
8 Mar
Mary Josephine Ray, kikongwe kuliko wote nchini Marekani afariki dunia akiwa na 114 years, 294 days.
Kikongwe hiki kilikuwa kinajiandaa kurusha party ya nguvu ya bday yake ya kutimiza miaka 115 lakini bahati mbaya hakuweza kufikisha umri huo baada ya kufia huko kwake Westmoreland age 114 years, 301 days.
Ray was born May 17, 1895, in Bloomfield, Prince Edward Island, Canada na baadaye akiwa na umri wa miaka mitatu walihama yeye na familia yake to USA.
Ray’s husband, Walter, died in 1967. Survivors include two sons, eight grandchildren, 13 great-grandchildren and five great-great grandchildren.
Mungu ailaze pema peponi roho ya Bibi Mary! AMEN!
8 Mar
Siku yetu jamani leo…wanawake wote Oyeee!! let us try to be independent jamani! For those who do believe tunaweza kusimama wenyewe Cheers na kwa wale wote ambao hawajiamini kusimama na kufanya kitu kama wao pse wewe ni MWANAMKE na unaweza kufanya lolote kama ukiamua tu.popote penye nia panawezekana….
This woman is my inspiration,Naamini siku moja naweza kureach her goals….İn any way or another!
WELL special thanks kwa mama yangu,Love you the world mama, You such a wonderfull woman that mean a lot to me..Promise to love you forever…cant pay you nothing but Only God knows….na wamama wote duniani…nawapenda kwa kuwalea vyema watoto wenu!
NI SIKU YA WANAWAKE LEO!!!!!
8 Mar
Kibongobongo wasanii wetu ambao ndio macelebrity wetu kwenye swala zima la MAKE UP ni ziro….Hawajaweza kugundua kuwa na mtu ambaye anamuweka sawa akitoka au akiwa kwenye show ni muhimu sana…..Unakuta msanii anapanda jukwaani yupo rough usoni, hili nazungumzia mastaa wetu wa kike hasa…
Unapata show unalipwa basi kuwa na make up za ukweli ambazo ukipaka mwenyewe bila kuwa na hata huyo mrembaji….İnstead mnachukulia poa...
Mi nafikiri ukishaitwa staa unatakiwa uwe tofauti na watu wengine kama MİMİ ıki uweze kutofautishwa kati ya staa na mimi au nafikiri sivyo??
Mie hasa leo kwa mastaa wa kike jamani,,huu mfano wa kweli,nilimuona staa mmoja wa kike(Jina kapuni) akiwa amerudia viatu vyake mara tatu kwenye shoo zake tatu tofauti,yani mpaka nilishangaa na kushangaa kwangu ni kwamba namuona akijiachia sehemu tofauti tofauti, anajinadi ana hela lakini kwanini asiweze kubadilisha viatu na kuonekana maridadi???CRAZY!
Recent Comments