Angalia Bongo

Sehemu ya Kuwepo!

Angalia Bongo is Sponsored by

 

Ndoa soon,soon!waskilize wao Swiss na Alicia Keyz!

1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
Loading ... Loading ...

Wanatupa kule what people says halafu wanauweka ukweli hadharani kuwa soon,soon wanatarajia kufunga ndoa ili wawamalize HATERS..feeling that? Swiss Beatz X husband wa Mashonda pamoja na Alicia Keys wanatarajia kufunga ndoa mwaka huu…hawajasema lini…

Haya na wewe lini?Usishadadie ya wenzako!

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • İ would like to have a 3 some with Halle Berry and Ashley Judd…

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...

    Mzee mzima Joe Budden wrote on twıtter kuwa he would love to have a THREESOME with Halle Berry and Ashley Judd…Can we call It crazy to express In publıc? au thats awsome?…

    Kibongobongo az an artist kuelezea hisia zake in public its a bit hard  lakini wenzetu they dont care..FREE MİND…Tupo kwenye Dunia ya Uwazi na ukweli!

    Lakini wewe unaonaje?Kuwa mkweli,kuelezea kile ulichonacho moyoni au kukaa kimya,kufa na kitu moyoni ipi works Out?!

     

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Our proudly supermodel…Millen Magese!

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...

    Back miaka ya  2000′  nilikuwa nasoma na huyu Bidada hapa kwenye picha anayekwenda kwa jina la Millen ambapo hatukuwahi kufikiria kama atakuja kuwa Miss Tz au kushiriki mambo yoyote yanayohusiana na urembo kwakuwa maisha yake ya kawaida alionekana kuwa bussy sana na kitabu pamoja na kusali sana…sorry simaanishi wanaompenda Mungu hawashiriki kwenye mambo ya ulimwende ila hıyo nı kasumba yetu..

    Happiness Magese ndıyo jina lake halisi na kwakweli alıkuwa dada mstaarabu sana…Nakumbuka alikuwa Form 6,wakati huo nipo form 2, huwezi amini alikuwa anazimiwa na shule nzima kutokana tu na jinsi alivyokuwa na upendo na kila mtu in KİBOSHO GİRLS HİGH SCHOOL…

    Leo hii she is doing good in South Africa ambapo anapata deals nzuri na makampuni mbalimbali na mbali na hayo ameweza kujijengea jina lake bila ya kukutwa na scandalz zozote CHAFU….

    What she suprises me most ni kwamba hajabadilika hata kidogo, she still the same Happy, hana marıngo na nzuri zaidi bado anamtumikia Mungu wake, nakumbuka aliniambia weapon yake ni kumwomba Mungu hivyo hatoacha kamwe that was only last week ambapo Nilıongea nae sana na aliweza hata kunipa ushauri kuhusu LİFE in general!

    Go On Mom n here you have Uz by your side!!

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Kibongobongo! Mdundiko mitaa ya kati…

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...

    Raha ya kwetu, Mdundiko!….

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • New Hip Hop Artist İn Bongo…Big Boss!

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (1 votes, average: 3.00 out of 5)
    Loading ... Loading ...

    Ameachia ‘Piga Bao’ ambayo imeonekana kufanya vizuri kwenye baadhi ya redio steshens na sasa amekuja na ’Uwezo’ zote zımetengenezwa na  producer  Maneke..
    Kwa sasa yupo karibu na  AM recordz under Maneke kutoka TZ na  S&S records under Stiggo from New York ambao ndio watakaotengeneza albam yake inayokuja itakayobeba jina la ‘UWEZO’.
  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Happy Bday Othman!

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...

    Happy birthday kaka Othman wa www.othmanmichuzi.blogspot.com.

    Angaliabongo İnakutakia maisha mema na yenye Baraka!

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Unaiweza Pombe?

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Hii ndio Dar yetu wakati wa mvua….Utaipenda!

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...

    Dhahama ya Dar wakati wa Mvua..

  • 1 Comment
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Pole Joh Makini na G Nako.

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (No Ratings Yet)
    Loading ... Loading ...

    Usiku wa kuamkia leo wana bongo fleva nchini,Joh Makini na G Nako wamevamiwa na majambazi na kuporwa baadhi ya vitu pamoja na fedha taslimu za kitanzania ambazo hawakusema ni kiasi gani..

    Akielezea tukio hilo,Joh alisema tukio hilo lilitokea kama movie kiasi ambacho hata wao wenyewe wameshindwa kuelewa kılıchotokea ila baadaye ndipo walıjıngudua kuwa walıvamıwa na wako salama.

    ANGALİABONGO inawapa POLE…

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Je unajali Kuhusu MaSuper Star wa Kibongo Ridhaa???

    1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars (1 votes, average: 5.00 out of 5)
    Loading ... Loading ...

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • About Angalia Bongo

    Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...I would apreciate İf you can call me SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with my desicions, without forgeting İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian.Love friends and believe to DİE with something as İ was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me. Thanks for passing by xoxox..... Read More

    Have Your Say

    How Is our Website?

    View Results

    Loading ... Loading ...

    GrooveBack



    Disco bora na la kijanja nchini, pekee linalowahusisha waliokuwapo, waliopo na wanaotaka kujua kilichotokea