Sehemu ya Kuwepo!

8 Mar
Kibongobongo wasanii wetu ambao ndio macelebrity wetu kwenye swala zima la MAKE UP ni ziro….Hawajaweza kugundua kuwa na mtu ambaye anamuweka sawa akitoka au akiwa kwenye show ni muhimu sana…..Unakuta msanii anapanda jukwaani yupo rough usoni, hili nazungumzia mastaa wetu wa kike hasa…
Unapata show unalipwa basi kuwa na make up za ukweli ambazo ukipaka mwenyewe bila kuwa na hata huyo mrembaji….İnstead mnachukulia poa...
Mi nafikiri ukishaitwa staa unatakiwa uwe tofauti na watu wengine kama MİMİ ıki uweze kutofautishwa kati ya staa na mimi au nafikiri sivyo??
Mie hasa leo kwa mastaa wa kike jamani,,huu mfano wa kweli,nilimuona staa mmoja wa kike(Jina kapuni) akiwa amerudia viatu vyake mara tatu kwenye shoo zake tatu tofauti,yani mpaka nilishangaa na kushangaa kwangu ni kwamba namuona akijiachia sehemu tofauti tofauti, anajinadi ana hela lakini kwanini asiweze kubadilisha viatu na kuonekana maridadi???CRAZY!
7 Mar
5 Mar
Here İt comes, siku yako duniani wewe mwanamke 8.03 kila mwaka.Je katika siku hii maalumu kwako wewe mwanamke Utafanya nini?
Umeshawahi kufikiria umuhimu wako hapo ulipo na thamani yako kwaujumla?
Well kitaifa siku hii ya Wanawake duniani itaadhimishwa mkoani Tabora!
Thanks kwa MAMA yangu kwa kunilea vyema mpaka hapa nilipofika na kuweza kujitambua umuhimu wangu mimi kama mwanamke na kwa mama wote duniani walioweza kuwalea watoto wao vyema…Love you mama for everything!
5 Mar
Man..kwanza İ got shocked when İ realize this boy kwenye pıcture ni home boy,you know what İ mean, tumekutana UGENİNİ na İt was way back since alivyotoka home….Kilichofuata ni BİG HUG!
Sikuweza ficha furaha yangu kwakweli…we had a talk and it was all about kukumbuka mambo ya Home enzi hizo….
He go by the name Kuti….and he doİng great İn ATL….May God protects you and everything that your doıng!!
Thanks Boy!
4 Mar
Jamani hii kidogo imenistua nikasema Hell No…have to publish what I have just found hapa ili stakeholders wa angaliabongo waweze kusema chochote…..
Whats all about? ni CONDOM za watoto, kwa uchunguzi uliofanywa ni kwamba watoto wengi huko UK they practıse sex si salama na mfano mmoja ulioneshwa baada ya watoto wa 12yrs kukutwa anajamiiana na mwenzake wa 15yrs hivyo ikaonekana heri watengeneze condom zitakazowaFİT ili kukingwa na magonjwa ya zinaa..
Kwa sasa zinatarajiwa kuanza kuuzwa huko UK na Switzerland…..In real sense,hivi utaweza kumnunulia mtoto wako condom hizi ili ajikinge na magonjwa au ndio itakuwa mwanzo wa kumfundisha mtoto aanze kujamiiana?
4 Mar
Hopefully kama wewe ni muangaliaji mzuri wa movie,this face looks familiar..Omar Hashim Epps ndio jina lake kamili…Juice, Higher Learning, Perfume na nyingine nyingi tu…
Was born 1973,so sasa hivi atakuwa na kama 37 hivi with 2 kids,daughter K’mari (born in July 2004) and son Amir (born on 25 December 2007).
Omar na family yake wanaishi huko California,US. Una lolote kuhusu Omar?! send me!
4 Mar
Hey wats up everybody!!,I thought the Producers in Tanzania have improved a lot but i guess i was wrong!!,2 and Half years ago i made a beat and named it Block Running,I sold it to one of the Label called Koch Entertainment of New York for the agreement of wherever this beat goes my name gotta be there as a beat maker of this beat,2 days ago i was shocked when one of my friends from Tanzania sent me a song with the same beat i made 2 and half yrs ago!!, and I didnt hear my name on the track all i heard is Marco Chali,
So i called Koch entertainment to ask wats going on,Koch entertainment management were so surprised to hear that news so they told me to send the song to them and I did,They asked me if i ever sent the beat to MJ Records of Dar es Salaam,Tanzania,
I told em i never did but i put the beat on I tunes so people can buy and use for promotions and not for any type of business but Mj records used the beat without permission from Koch Entertainment and also they didnt follow the agreement we signed that wherever this beat goes my name gotta be there as a beat maker,
I dont have any rights of complaining this issue to MJ Records that why my name wasnt on the song as a beat maker all ill do is to take Koch Entertainment to court and they will deal with the MJ Records,The only thing im gonna deal with,if MJ records bought this beat from itunes,and if they did why they used it for the Business!!?.
I put the song which Producer Marco Chali of MJ Records produced last year and my beat i made 2 and half years ago so you guys can compare and tell me if this beat is the same or not the same.
Thanks.
Stiggo Ibrahim,
S&S Records-NY
HUU NDİO WARAKA WA STIGGO, A TANZANİAN PRODUCER FROM NEW YORK AMBAO UNAELEZEA WİZİ WA BEAT ALİYOİTENGENEZA ULİOFANYİKA NA MARCO CHALİ, PRODUCER WA HAPA KWETU NA KUTENGENEZA WIMBO WA ‘BULLET! WA MSANİİ QUICK ROCKA ULİOTAMBA SANA…..WHAT NEXT NA HİZİ SHUTUMA ZA KİLA SİKU KUHUSU PRODUCERS WETU KUİBA BEATS ZA WATU WENGİNE? CANT THEM HAVE THEİR OWN CREATİONS?!
Pse unaweza kwenza ili uweze kusikiliza Beat hiyo; http://www.candy1world.blogspot.com/
4 Mar
A very good friend of mine, İ call him War Kitaa, some Babuu and others Seydou, yote yake yeye…Leo anatimiza miaka kadhaa tokea kuzaliwa kwake…
Shangwe zote amesema zinaanzia pale Kontena, kwa waalikwa halaf baada ya hapo watajua kinachofuata…
Just reminding you, Babuu is one of my favourate rapper in DAR, hope unaikumbuka ile ‘KIMBIA’ and what more from him, well ni host from CLOUDS TV…
…Mskilize yeye!!!!!!!by the way, nı muasisi na mwenyekiti wa CCWB yaani Chama Cha Wala Bata
Happy bday Buddy!
4 Mar
Pichani Wizzle kama alikuwa anafikiria kinachokaribia kumkuta,,sura ya huzuni mwenyewe …lean on something?!wall..
This was taken last thursday ndani ya Echelon 3000,Atlanta siku chache kabla ya kuanza kutumikia kifungo chake…
İnasemekana alifanya party ya kuwaaga watoto wake pamoja na baby momaz wake wote kwa pamoja huko New Orleans kabla ya kuanza kifungo chake…
Recent Comments