<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><!-- generator="WordPress/2.9.2" -->
<rss version="0.92">
<channel>
	<title>Angalia Bongo</title>
	<link>http://www.angaliabongo.co.tz</link>
	<description>Sehemu ya Kuwepo!</description>
	<lastBuildDate>Sat, 13 Mar 2010 15:47:24 +0000</lastBuildDate>
	<docs>http://backend.userland.com/rss092</docs>
	<language>en</language>
	
	<item>
		<title>Vitambi Kwa Wanawake mmh..Haihuu!</title>
		<description><![CDATA[Sio jambo la kuchekesha but daah, ukikutana na mdada kapendeza halaf ana kitambi mhh&#8230;.inachekeee..!simalizii!
Vitambi kwa wakinadada kwakweli vinasababisha shape za miili yetu kuharibika jamani&#8230; what the solution? Eti wanawake wa Kibongo tunapenda sana pombe, Kitimoto na mbuzi ambavo ndo vinaleta VİTAMBİ, ya kweli hayo?
Honestly been avoiding kupata kitambi kwakweli&#8230;will do chochote lakini sitoruhusu kitambi kijotokeze&#8230;but [...]

<h3>Related Posts</h3>
<ol>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2008/09/17/baada-ya-neilah-sasa-ni-asina/" rel="bookmark">Baada ya &#8216;Neilah&#8217; sasa ni &#8216;Asina&#8217;</a><!-- (5.08103)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/02/20/wanawake-ujasiriamali/" rel="bookmark">Wanawake Ujasiriamali!</a><!-- (5.69696)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/08/18/ni-kweli-anaongoza-chama-la-wanawake-bongo/" rel="bookmark">Ni kweli anaongoza chama la Wanawake Bongo?</a><!-- (8.77439)--></li>
	</ol>
]]></description>
		<link>http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/13/vitambi-kwa-wanawake-mmh-haihuu/</link>
			</item>
	<item>
		<title>What&#8217;s Your Top 3  &#8220;MrMisifa&#8221; Dully Sykes Songs?</title>
		<description><![CDATA[When Dully Sykes hit the music  scene, He was exactly what the game needed&#8211;a strong Man, who could  not only sing, but rap, produce, and write hit records.


Related Posts

		Dully huyu hapa na &#8216;Watasimulia&#8217;
		Albam hazilipi-Dully Sykes!
		Dully Atamba kupagawisha kwenye usiku wa Ndovu!
	


<h3>Related Posts</h3>
<ol>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2008/09/24/dully-huyu-hapa-na-watasimulia/" rel="bookmark">Dully huyu hapa na &#8216;Watasimulia&#8217;</a><!-- (11.4456)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2008/10/28/albam-hazilipi-dully-sykes/" rel="bookmark">Albam hazilipi-Dully Sykes!</a><!-- (18.3433)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2008/12/16/dully-atamba-kupagawisha-kwenye-usiku-wa-ndovu/" rel="bookmark">Dully Atamba kupagawisha kwenye usiku wa Ndovu!</a><!-- (14.5881)--></li>
	</ol>
]]></description>
		<link>http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/13/whats-your-top-3-mrmisifa-dully-sykes-songs/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Chimbo lingine la Siasa&#8230;</title>
		<description><![CDATA[Kiukweli when it comes to politics sina ninachojua manake nahisi akili yangu zaidi imeegemea upande wa BURUDANİ ingawa napenda sana kujua yanayotokea na kujiri kwenye siasa ya Tanzania na mara nyingi naingia Michuzi kwakuwa napata habari hizo fasta&#8230;Usijiulize kwanini siweki habari hizo kwakuwa nimeshajielezea sina nachojua kuhusu siasa so siwezi kuweka kitu ambacho sijui..
Leo kwenye [...]

<h3>Related Posts</h3>
<ol>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2008/09/10/angaliabongo-blogspot/" rel="bookmark">angaliabongo.blogspot</a><!-- (9.60153)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2008/09/29/anasema-hakuna-kama-yeye-bongoni-kweli/" rel="bookmark">Anasema hakuna kama yeye Bongo,ni kweli?</a><!-- (8.91642)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/03/06/hellow-wadau/" rel="bookmark">Hellow Wadau</a><!-- (11.829)--></li>
	</ol>
]]></description>
		<link>http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/13/chimbo-lingine-la-siasa/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Eti Mkono Una Athari gani?</title>
		<description><![CDATA[Special to my brothers out there&#8230;.Yani huwa najiuliza sana kuhusu swala hili na nimeona heri nilianike ili wakina kaka muweze kunisaidia ili mimi na watu wengine ambao hawajui maana yake tupate Kufahamu..
Kampani yangu kubwa ni wanaume na huwa nakaa nao sana kiasi ambacho nimepata kuwaelewa vitu vyao vingi lakini hili la kupiga mkono(PUNYETO) sijapata kulielewa [...]

<h3>Related Posts</h3>
<ol>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/03/06/hellow-wadau/" rel="bookmark">Hellow Wadau</a><!-- (6.83677)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/10/08/yuko-wapi-renee-lamira/" rel="bookmark">Yuko wapi Renee Lamira?!</a><!-- (6.73861)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/10/23/nani-alaumiwe-kwenye-hili/" rel="bookmark">Nani alaumiwe kwenye hili?</a><!-- (8.5866)--></li>
	</ol>
]]></description>
		<link>http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/13/eti-mkono-una-athari-gani/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Fun Fitness na Ukweli Mtupu..Work On İt!</title>
		<description><![CDATA[Hivi unajua kuwa unaweza ukatoa mafuta mwilini mpaka 200 calories kwa kufanya mapenzi kwa muda wa dakika 30 bila kupumzika??
Hebu tufanye hesabu ya harakaharaka,muda dakıka 30 unafanya mapenzi,kwa wiki mara tano hapo utakuwa umepunguza 200 calories.Hivyo 1000 caloriez zitakuuwa zimeunguzwa ndani ya masaa mawili na nusu saa uliyojishughulisha kufanya mapenzi…Awww!
 Kwa wale wanaohangaika kuhusu kufanya DİET [...]

<h3>Related Posts</h3>
<ol>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/02/04/rihanamichael-jackson-wizi-mtupu/" rel="bookmark">Rihana,Michael Jackson wizi mtupu!</a><!-- (6.90557)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/02/17/first-lady-wa-ukweli/" rel="bookmark">First Lady wa ukweli</a><!-- (5.80746)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/07/16/nipo-single-na-nimerudi-mzigoni-ray-c/" rel="bookmark">Nipo Single na nimerudi mzigoni-Ray C</a><!-- (7.01851)--></li>
	</ol>
]]></description>
		<link>http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/12/fun-fitness-na-ukweli-mtupu-work-on-it/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Mshukuru Mungu Kwa Hata hiko Kidogo Ulichokuwa Nacho!</title>
		<description><![CDATA[Mshukuru Mungu kwa kile ulichokuwa nacho na anachokujalia kupata kila siku kwani wengine hawajajaliwa kukipata hicho unachokipata na siku zote Mkumbuke hata kwa maombi!
Nafikiri kiasi flani hata mimi nimebadilika kutokana na hali halisi ya maisha ambayo nimepitia..
Nilikuwa mtu wa kuweka kinyongo, kutosahau ubaya niliofanyiwa na watu hasa marafiki zangu ambao wamenigeuka kwa kunisema vibaya lakini [...]

<h3>Related Posts</h3>
<ol>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/04/mungu-saidia-hilicondom-za-watoto-kuanzia-12-yrs-hizi-hapa/" rel="bookmark">Mungu Saidia hili;Condom za watoto kuanzia 12 Yrs Hizi Hapa</a><!-- (7.1224)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/02/02/mvua-kidogodar-hapatoshi/" rel="bookmark">Mvua kidogo,Dar hapatoshi&#8230;</a><!-- (6.5071)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/04/14/naona-nazeeka-sasa/" rel="bookmark">Naona Nazeeka sasa!</a><!-- (7.11365)--></li>
	</ol>
]]></description>
		<link>http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/12/mshukuru-mungu-kwa-hata-hiko-kidogo-ulichokuwa-nacho/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Kalapina awa Actor, King Majuto awa musician..</title>
		<description><![CDATA[Haya here we go&#8230;Kalapina kageukia kwenye upande mwingine wa shilingi, from Kurap mpaka kuigiza&#8230;.na anasema atakimbiza kwenye suala zima la kuigiza though hajaacha kurap&#8230;
King Majuto nae sasa hivi mwanamuziki wa Kalunde Band huku akiwaasa waigizaji wasifake wafanye kweli kama wao walivyokuwa wanafanya kweli&#8230;
Kwa hili namuunga mkono Majuto,sanaa ya sasa hivi sio kama ya zamani kwenye [...]

<h3>Related Posts</h3>
<ol>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/01/30/king-and-queen-soon-redioni-ya-ay/" rel="bookmark">King and Queen soon redioni ya AY!</a><!-- (9.56216)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/03/02/chupa-nyingine-tena-ya-mox/" rel="bookmark">Chupa Nyingine Tena ya Mox</a><!-- (7.68901)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/06/06/hivi-ndivyo-wasanii-wetu-wana-vyo-hustle-jamaniimekaaje-hii/" rel="bookmark">hivi ndivyo wasanii wetu wana vyo hustle jamani,imekaaje hii?</a><!-- (8.2964)--></li>
	</ol>
]]></description>
		<link>http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/12/kalapina-awa-actor-king-majuto-awa-musician/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Ujumbe Kwako Mwanaume!!</title>
		<description><![CDATA[

Related Posts

		mwanaume kazini haina kuremba
		Kazi kwako usiyekuwa na Mwana!
	


<h3>Related Posts</h3>
<ol>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2008/10/30/mwanaume-kazini-haina-kuremba/" rel="bookmark">mwanaume kazini haina kuremba</a><!-- (6.42336)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2010/02/18/kazi-kwako-usiyekuuwa-na-mwana/" rel="bookmark">Kazi kwako usiyekuwa na Mwana!</a><!-- (5.90571)--></li>
	</ol>
]]></description>
		<link>http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/11/ujumbe-kwako-mwanaume/</link>
			</item>
	<item>
		<title>A msg From Beezy..</title>
		<description><![CDATA[
Hey people,
watch the mixtape trailer and get to know more about rapper Beezy at www.beezy-music.com . His mixtape &#8220;The B-Day&#8221; is the best mixtape out so far and got him more buzz than everyone thought !Over 35000 single downloads,over 600 full mixtape downloads is more than good for an upcoming artist like Beezy.If you still don´t [...]

<h3>Related Posts</h3>
<ol>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/07/14/its-beezy-n-his-world/" rel="bookmark">Its Beezy n his World!</a><!-- (9.43264)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/07/27/beezy-ataka-kuweka-mapinduzi/" rel="bookmark">Beezy ataka kuweka mapinduzi</a><!-- (10.2046)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/09/01/sijui-beezy-ataelewekaje-kwa-hili/" rel="bookmark">Sijui Beezy ataelewekaje kwa hili</a><!-- (10.1878)--></li>
	</ol>
]]></description>
		<link>http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/11/a-msg-from-beezy/</link>
			</item>
	<item>
		<title>Battle Bed; Anahitaji Ushauri&#8230;</title>
		<description><![CDATA[Habari ndugu angaliabongo, mimi ni mdau wa angaliabongo na kila siku siwezi kupitisha bila kuperuzi kwenye blog hii.Naomba jina langu usiliweke kwani nahitaji ushauri ambao nimeshindwa kumwambia mtu yoyote na nimeona niandike na kuweza kutuma kwenye mitandao wasomaji waweze kunisaidia.Nimeoa na sasa nina miaka mitanoo ndani ya ndoa.Mimi na mke wangu tumeishi maisha ya raha [...]

<h3>Related Posts</h3>
<ol>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/03/04/mwaka-wa-wema-huu/" rel="bookmark">Mwaka wa Wema huu!</a><!-- (8.87385)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/03/06/hellow-wadau/" rel="bookmark">Hellow Wadau</a><!-- (8.58743)--></li>
		<li><a href="http://www.angaliabongo.co.tz/2009/04/16/pinda-atoa-ushauri-wa-bure/" rel="bookmark">Pinda atoa ushauri wa Bure</a><!-- (8.50941)--></li>
	</ol>
]]></description>
		<link>http://www.angaliabongo.co.tz/2010/03/11/battle-bedanahitaji-ushauri/</link>
			</item>
</channel>
</rss>
<!-- WP Super Cache is installed but broken. The path to wp-cache-phase1.php in wp-content/advanced-cache.php must be fixed! -->