Sehemu ya Kuwepo!
17 Mar
Hivi unajua kuwa pingu(Handcuff) zina maana yake katika mapenzi?Unatakiwa uwe mbunifu ili mpenzi wako ashindwe kupeleka jicho kwa mtu mwingine….
Tip from a friend(hakutaka jina liandikwe) anadai yeye binafsi aliwahi kufundwa na kuambiwa kuwa anatakiwa alinde penzi kwa kumjali mumewe,kumpenda na vilevile kuonesha mautundu yote on bed….
Well akaniambia aliwahi kutumia pingu kwa husband wake na huwezi amini mume alichanganyikiwa mbaya kutokana na kushindwa kufurukuta on bed zaidi ya kumwachia ama aonehe what she got by kutumia pingu…Nilishangaa kiukweli..how did he use handcuff to make her man go crazy on bed??!! Your task..Take that.
Simaanishi kutumia pingu peke yake ndio unaweza kumnasa mpenzi wako asiende kwa mwingine…Ila tumia ubunifu wako ili kuweza kutunza penzi lako…..Got me?!same style, same MAUTUNDU yanachosha bana……Jaribu kuwa mbunifu ili kulitunza lako penzi kwa umpendae na kwa unaemjali….
17 Mar
Kama jeshi ndiyo hivi……Mmmh naghairi kwakweli.
Wajeshi to be jamani wakiwa mazoezini huko Dodoma,Kurutaz..chokoza uone!
16 Mar
At first nilipoiona hii picha nikasema ni nini tena jamani??Kuja kusoma what was written ni kwamba mdaa anauza Juice,boob moja USD 10……
Mteja ukimaliza linawekwa titi lingine…mwisho wa siku dada kashamake mkwanja wake….Jamani ukiwa na biashara ni vizuri ukabuni kitu kama huyu mdada ili kuvutia wateja…..au sio?!
Thanks 2 my girl Evelyne for the story and picture…
16 Mar
Ndio kwanza kaingia kwenye film İndustry na tayari amesha make İt to the top….Gabourey Sidebe a.k.a Clarice starrin in ‘PRECİOUS’ ambayo imeweza kujipatia umaarufu sana na kunyakua tuzo kadhaa mwaka huu ikiwemo Oscar…
Gabo amezaliwa 83′ huko Brooklyn ambapo mama yake ni mzaliwa wa USA na baba yake kutoka Ghana, She is from familia ya kawaida sana..mama anaimba kwaya na baba ni taxi driver…..
Kuhusu suala zima la RELATİONSHİP..Gabo hajaweka wazi kuhusu hilo kama she is dating some1 na sehemu nyingi za kujiachia anaonekana mwenyewe….Does this mean she is Single? and nobody is there to hook her up?WELLL tutajua tuu…..
Kuhusu umbile lake,star huyu wa PRECİOUS anakiri kujivunia na kudai kuwa hatamani hata kutumia madawa ili aweze kupungua kwa vile hivyo ndivyo Mungu alivyomuumba hivyo hana budi kujikubali…Anaproud kupewa mwili aliokuwa nao..
16 Mar
Alifanikiwa kutengeneza jina lake miaka ya nyuma kutokana na nyimbo mbalimbali alizoziachia na kutokewa kupendwa kama ‘Nampenda’ na Sitobadilika’…huyo ni Mike Tee ambaye maka huu ametangaza his COME BACK na tayari kashaachia ngoma inayokwenda kwa jina la ‘I LOVE YOU!…
Swali ni Je hiyo İ LOVE YOU iaweza kurudisha jina lake kama zamani?
16 Mar
Speaking of my favourates Bongo flava singers n rapers, İ always respect Dully, Makamua and Nurah bcause they both got that taste…feeeling me? Here he goes Nurah Haji..aka Baba Styles ambae anakaribia kumalizia shule yake baada ya miezi mitatu from sasa hivi halaf ndio aachie yale mambo yetu..
Guess what?ameongea na mimi anasema anakuja kwa kivingine kabisa na this time will be more than ‘Ice Cream’..meiynnnnn…Cant wait,you just got my back
He promised ANGALİABONGO kuwa watu wa kwanza kupata iyo ngoma yake ambayo hajacomfirm itaitwaje….Tumskilize yeye!
15 Mar
Hivi unajisikiaje unaenda kwenye sherehe halafu umefika wakati wa msosi, upo kwenye foleni(queque) ya kwenda kuchkua msosi mara unaambiwa CHAKULA KİMEİSHA!!!!!!!How do u feel?
Sasa angalia picha hiyo inajielezea BEHİND the scene….wahudumu wamejificha chini ya meza wakipata menu İnstead of kuwasevia watu misosi, sina cha kuelezea zaidi!
15 Mar
One of my favourates Old Timer’s singer, King Kikii.Kiukweli miaka ambayo King Kikii alikuwa anatamba nilikuwa mdogo so sikuweza kugundua nini alichokuwa anaimba na wala historia yake siijui…ila nazimia sana nyimbo zake jamani!
Nachokumbuka wimbo wake mmoja ambao mpaka kesho haunitoki akilini…‘KİTOTO NAANZA TAMBAA’ pamoja na ule ‘KİTAMBAA CHEUPE‘…Ni nyimbo ambazo nilikuwa nazisikia sana hapo zamani kwasababu mama yangu alikuwa anapenda kusikiliza nyimbo za Kikii..
Well kama kuna mdau yoyote anayeweza kutudondoshea History ya ufpi ya Kikii ingekuwa poa zaidi na sitasita kuiweka hapa..Thanks!
14 Mar
13 Mar
I think here İt comes a time ambapo ushauri wako ndio unahitajika zaidi ili kuweza kuboresha ANGALİABONGO…..
Well nachohitaji kutoka kwako ni kuniambia unataka niweke kitu gani ili iweze kuboresha site yetu..
Simple nitumie email kupitia info@angaliabongo.co.tz na angaliabongo@yahoo.com then nitaweza kufanyia kazi wazo lako…
Thanks!
Angaliabongo Team (Sarah and Joe)
Recent Comments