Kiukweli when it comes to politics sina ninachojua manake nahisi akili yangu zaidi imeegemea upande wa BURUDANİ ingawa napenda sana kujua yanayotokea na kujiri kwenye siasa ya Tanzania na mara nyingi naingia Michuzi kwakuwa napata habari hizo fasta…Usijiulize kwanini siweki habari hizo kwakuwa nimeshajielezea sina nachojua kuhusu siasa so siwezi kuweka kitu ambacho sijui..
Leo kwenye pitapitani zangu nikakumbana na uwanja mwingine,sidhani kama ni mpya bali mimi ndio nimeungundua uwanja huo unaoandika mambo halisi kuhusu siasa ya Tanzania na nimependezwa sana na blog hii jamani…..
Hebu na wewe jaribu kupitia labda unaweza ukavutiwa kwasababu humo siasa imechimbuliwa kwa kwenda mbele mpaka unaelewa viongozi wanavoiendesha serikali yako; www.chahali.blogspot.com
Related posts:


Kaka Evarist sio mwandishi kama kina sie. Ni MCHAMBUZI na MWANASAYANSI WA SIASA ambaye anaandika kwa kuwa anaona mbali.
Mchambuzi anayeandika kile ambacho kwa macho ya ndani ni kama anakitabiri kwani anajenga hoja juu yake na kutetea ama kueleza kwanini anapinga ama kuunga mkono asemacho
Na bado anafanya haya bila kuendekeza HASIRA.
What a man.
I love uchambuzi wake na na-recommend yeyote kumsoma kwani HE’S GOOD.