Archive for March 13th, 2010

  • Feel Free Tafadhali…..Maoni yako Muhimu sana Kwetu!

    Feel Free Tafadhali…..Maoni yako Muhimu sana Kwetu!

    I think here İt comes a time ambapo ushauri wako ndio unahitajika zaidi ili kuweza kuboresha ANGALİABONGO….. Well nachohitaji kutoka kwako ni kuniambia unataka niweke kitu gani ili iweze kuboresha site yetu.. Simple nitumie email kupitia info@angaliabongo.co.tz na angaliabongo@yahoo.com then nitaweza kufanyia kazi wazo lako…...

    Full Story

  • Vitambi Kwa Wanawake mmh..Haihuu!

    Vitambi Kwa Wanawake mmh..Haihuu!

    Sio jambo la kuchekesha but daah, ukikutana na mdada kapendeza halaf ana kitambi mhh….inachekeee..!simalizii! Vitambi kwa wakinadada kwakweli vinasababisha shape za miili yetu kuharibika jamani… what the solution? Eti wanawake wa Kibongo tunapenda sana pombe, Kitimoto na mbuzi ambavo ndo vinaleta VİTAMBİ, ya kweli hayo?...

    Full Story

  • What’s Your Top 3  “MrMisifa” Dully Sykes Songs?

    What’s Your Top 3 “MrMisifa” Dully Sykes Songs?

    When Dully Sykes hit the music scene, He was exactly what the game needed–a strong Man, who could not only sing, but rap, produce, and write hit records.

    Full Story

  • Chimbo lingine la Siasa…

    Chimbo lingine la Siasa…

    Kiukweli when it comes to politics sina ninachojua manake nahisi akili yangu zaidi imeegemea upande wa BURUDANİ ingawa napenda sana kujua yanayotokea na kujiri kwenye siasa ya Tanzania na mara nyingi naingia Michuzi kwakuwa napata habari hizo fasta…Usijiulize kwanini siweki habari hizo kwakuwa nimeshajielezea sina...

    Full Story

  • Eti Mkono Una Athari gani?

    Eti Mkono Una Athari gani?

    Special to my brothers out there….Yani huwa najiuliza sana kuhusu swala hili na nimeona heri nilianike ili wakina kaka muweze kunisaidia ili mimi na watu wengine ambao hawajui maana yake tupate Kufahamu.. Kampani yangu kubwa ni wanaume na huwa nakaa nao sana kiasi ambacho nimepata...

    Full Story