Mwanamke Asababisha Ajali Barabarani Kisa alikuwa Anaji-Shave (crotch)

Awww,this  news…awwsome and seriously imetokea huko Florida,USA…Mwanamama Megan Mariah Barnes,37 alıpanga kukutana na rafiki yake wa kiume yaani Boyfriend kwaajili ya privacy meeting( ushaelewa) yao lakini Bi dada akiwa njiani kuelekea huko kunako FARAGHA  akaona si vibaya kufanya usafi yaani kujinyoa sehemu za siri…

Usafi huo  alikuwa anaufanya akiwa kwenye gari yake huku anaendesha…mmmh basi akasababisha ajali baada ya kuconcetrate kwenye suala zima la kushave na kusahau kama alikuwa anaendesha gari!Hapo chachaaa!!!!

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. Mwanamke usafiri!!
  2. Mwanamke Mwenye Dreadlocks Ndefu Duniani.
  3. 50 Akosa Deal za Movies Kisa Tattoo.
  4. Asili ya Umbea ni Mwanamke au Mwanaume Hasa?
  5. Kanye Kaachana na Amber Kisa Kazi Yake,Comfirmed.

About the Author