Mastaa wa Kike Bongo na Make-ups….Wengi wao Utata!

Kibongobongo wasanii wetu ambao ndio macelebrity wetu kwenye swala zima la MAKE UP ni ziro….Hawajaweza kugundua kuwa na mtu ambaye anamuweka sawa akitoka au akiwa kwenye show ni muhimu sana…..Unakuta msanii anapanda jukwaani yupo rough usoni, hili nazungumzia mastaa wetu wa kike hasa…

Unapata show unalipwa basi kuwa na make up za ukweli ambazo ukipaka mwenyewe bila kuwa na hata huyo mrembaji….İnstead mnachukulia poa...

Mi nafikiri ukishaitwa staa unatakiwa uwe tofauti na watu wengine kama MİMİ ıki uweze kutofautishwa kati ya staa na mimi au nafikiri sivyo??

Mie hasa leo kwa mastaa wa kike jamani,,huu mfano wa kweli,nilimuona staa mmoja wa kike(Jina kapuni) akiwa amerudia viatu vyake mara tatu kwenye shoo zake tatu tofauti,yani mpaka nilishangaa na kushangaa kwangu ni kwamba namuona akijiachia sehemu tofauti tofauti, anajinadi ana hela lakini kwanini asiweze kubadilisha viatu na kuonekana maridadi???CRAZY!

 

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. msaniii bora wa kike wa maigizo bongo
  2. Pozi la Ray C utata?!
  3. Ni kweli anaongoza chama la Wanawake Bongo?
  4. Boots za baridi ndanı ya Bongo!
  5. Kibongobongo;Hii Haijakaa Sawa kwa Mastaa Wetu….

About the Author