New Hip Hop Artist İn Bongo…Big Boss!

Ameachia ‘Piga Bao’ ambayo imeonekana kufanya vizuri kwenye baadhi ya redio steshens na sasa amekuja na ’Uwezo’ zote zımetengenezwa na  producer  Maneke..
Kwa sasa yupo karibu na  AM recordz under Maneke kutoka TZ na  S&S records under Stiggo from New York ambao ndio watakaotengeneza albam yake inayokuja itakayobeba jina la ‘UWEZO’.
Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. Hawa ndio Wandago aka Sporty Thieves wa Bongo!
  2. Bongo 5 Media Presents Miss Kigamboni
  3. Chid Benz na ujio wa ‘The Return Of The Big Boss’
  4. p wa majani akanusha kukana vichwa vya bongo records
  5. Producer from New York ashika wezi Bongo….soma Ujue mwizi wake Nani!!

About the Author