Soulja Boy Sentenced To 12 Months Probation

soulja-boy2

Kulingana na Atlanta’s WSBTV a “Georgia hakimu” ame mhukumu teen-rapper Soulja Boy kwa miezi 12 na $ 1,000 fine kufuatia tukio litokea Oktoba  mwaka jana.

Soulja Boy na Watu wengine waliwakimbia polisi wakati ilipogundulika kwamba walikuwa wamekusanyika katika Eneo la nyumbani McDonough Georgia ,baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wakazi katika eneo hilo.

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. Is this cool for HipHop legendariez to diss the upcomings? !
  2. Sikio la Kufa….
  3. Scheta The Boy aka Soulja Boy wa Bongo…
  4. Ashanti’s Sex Text Stalker Heads To Jail, Sentenced To Two Years Behind Bars

About the Author