17muite Busta rhyme akiwa na mchiz wake kutoka flip mode wakikamua katika FIESTA ,iko wazi kuwa mchiz alikamua vibaya sana kiasi cha kutoa fundisho kwa wabongo jinsi gani msaniii unatakiwa kucheza na stage,msaniii pekee ambaye alifanya vizuri ni chidi benz mtoto wa ilala,naweza sema ye ndo anayefuata baada ya busta kwa kukamua vilivyo na kutawala jukwaaa

Related Posts

  1. Tunda From Bongo Star Search!
  2. Stara back again collabo na chi,chi,chid wa la familia
  3. Chid Benz aachia wimbo mpya,Nowonder alisema kaacha music
  4. Sexiest Man In dar final ni Alhamis
  5. chidi nje kwa dhamana