Angalia Bongo

Sehemu ya Kuwepo!

Archive for November 11th, 2009

Jay Z a.k.a Mr Camel

Inaonekana kama mwenyewe kajikubali kuitwa ‘Camel’ kutokana na baadhi ya nyimbo zake ndani ya ‘Blueprint 3′ kujiita Mr Camel..Kwa jinsi wewe unavyoona unaona ni kweli HOV himself amefanana na Camel?128799835094103046

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • New talent on Air…

    l_b57490be09f97e99681a89b56aafb6f22He goes by the name Mahl G all the way from New York…Naweza sema ni kipaji kipya kwenye industry ya music duniani..Mahl ameachia ngoma mbili zinazokwenda kwa jina la ‘Fast Life’ na ‘Cookers’ ambazo zimeanza kusumbua pande zile…Mchizi yupo long time kwenye game na ameshafanya kazi na watu  wakubwa kama Rick Ross na huu naweza kusema ndio muda wake wa kutoka…..Anafuata nyayo za Drake….

    “I’ve been up. I’ve had money. I’ve been broke. I’ve been to college. I’ve been incarcerated. I’ve laid low in the suburbs. I’ve done dirt in the hood. I’ve worked a job. I’ve hustled in the streets. I’m a real dude and I’m going to tell you my story” MAHL G.

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • About Angalia Bongo

    Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...I would apreciate İf you can call me SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with my desicions, without forgeting İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian.Love friends and believe to DİE with something as İ was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me. Thanks for passing by xoxox..... Read More

    Have Your Say

    How Is our Website?

    View Results

    Loading ... Loading ...

    GrooveBack



    Disco bora na la kijanja nchini, pekee linalowahusisha waliokuwapo, waliopo na wanaotaka kujua kilichotokea