Alikuwa ndani ya Watu Pori ya Afande Sele na baadaye akaamua kujitenga na baadaye akaamua kuingia La Familia lakini hakudumu sana na sasa yupo ndani ya THT akiwa kama Back vocalist………Hiyo ni kwakifupi kuhusu Dogo Dito kwa wale waliouliza alipo na anafanya nini.
Related posts:
