Sehemu ya Kuwepo!
3 Nov
Alikuwa ndani ya Watu Pori ya Afande Sele na baadaye akaamua kujitenga na baadaye akaamua kuingia La Familia lakini hakudumu sana na sasa yupo ndani ya THT akiwa kama Back vocalist………Hiyo ni kwakifupi kuhusu Dogo Dito kwa wale waliouliza alipo na anafanya nini.
3 Nov
My girl Fatma Amour ndani ya US ambapo amepata nafasi ya kuonesha mavazi yake na vilevile vazi la KAKAKUONA kubakia kwenye makumbusho ya Arts College ya Ohio…All the Best Fatma!
3 Nov
Msanii aliyetamba na wimbo ‘Dunia Njia’,Ruta Bushoke hayupo tena kwenye lebo aliyokuwa nafanya nayo kazi ya Zizzou fashions ya jinjjini Dar-es-salaam na wakati huohuo Mzee Zahir Ally Zorro asaini mkataba na lebo hiyo..
Angaliabongo.co.tz inamtafuta Bushoke ili aweze kuelezea mpango wake mpya baada ya kuondoka Zizzou.
Recent Comments