bmd4ac4852f8f16dMKALI WA ILALA muite chidi beenz toka pande za ILALA atimaye atoka sello kwa dhamana baada ya kushtakiwa kwa kumpiga na chupa kichwani promota  mmoja huko jijini mwanza,chanzo cha habari kilisema chidi alifanya hivyo baada ya promota huyo kuenda kinyume na makubaliano ya kazi yao ambapo chidi alichukua jukumu la kumpiga na chupa promota huyo,baada ya hapo chidi alipanda pipa na kukimbilia  A TOWN  na promota akachukua ndinga hadi dar na kuchukua RB police oysterbay ambapo tarehe 29 polisi walifanikiwa kumtia msanii huyo mikononi,lakini ametoka kwa dhamana,na pia amerudisha shillingi za kitanzania 250,000 na bado anadaiwa sh 500,000,

Related Posts

  1. Wema alivyomtenda mama yake
  2. Sikio la Kufa….
  3. TID matatizoni tena!
  4. Chidi kuuza mwenyewe…
  5. BASTA NA HOMMIE KUTOKA FLIP MODE WAKIKAMUA