Inasemekana dawa ya gonnjwa hatari la ukimwi imepatika..Kwa anaejua zaidi abainishe kama habari hizi ni za kweli au ndio rumours tu!
Related posts:
Inasemekana dawa ya gonnjwa hatari la ukimwi imepatika..Kwa anaejua zaidi abainishe kama habari hizi ni za kweli au ndio rumours tu!
Related posts:
Amani, Heshima na Upendo kwako Dadaaa
UKO MAKINI SANA. Yaani makini na fani. Kuna mahala pengine nimeona kichwa kama chako ila hakikuwa na alama ya kuuliza. Hiyo ilimaanisha kuwa aliyeandika aliandika taarifa na si swali na kwa maana hiyo ALIPOTOSHA.
Kwanza kilichofanyiwa majaribio ni chanjo ambayo ilitolewa majibu yake wiki iliyopita. Na majibu hayo yameonesha mafanikio na kuwashangaza wengi kwa kuwa chanjo ya kwanza kuonesha mafanikio japo ni asilimia 31 tu na sio 50 ambayo hutakiwa kuendelea na hatu anyingine. Katika ripoti yao kuhusu hili, wataalamu wamesema “A study of 16,000 volunteers in Thailand, reported last week, found those getting the immunization had a 31 percent lower infection rate than those given a placebo, the first time any vaccine had positive results”
Wamesema uchunguzi unaweza kutumia zaidi ya miaka kumi kujua mafanikio yake.
Waweza kusoma habari nzima kuhusiana na hili hapa http://www.bloomberg.com/apps/news?pid=20601103&sid=a_VExSafuJY4
SASA UNAULIZA WAKATI WASHAONESHA NA SI DAWA NI KINGA kwahio tuombe mungu ije dawa kamili tuondokane na haya maradhi maana yashaua sana ndugu zetu okey God Bless U
take care
hi,naomba nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya!
ila napenda nikusahihishe kauli yako ya kusema GONJWA HATARI huo ni unyanyapaa tunasema UGONJWA WA UKIMWI!
ni hayo tu