Hatimaye aliyekuwa mfalme wa Pop duniani,Michael Jackson azikwa baada ya kipindi cha takribani miezi mitatu tokea kifo chake.
Maazishi ya aliyekuwa mfalme wa Pop yalihudhuriwa na watu wachache wakiwemo familia yake,ndugu wa karibu na marafiki akiwemo Chris Tucker.
Mungu ailazer roho ya Mj mahali pema peponi.
Related posts:
