Archive for August, 2009

  • Mustafa Hassanali presents Zanzibar Charity Show

    Mustafa Hassanali presents Zanzibar Charity Show

    The Mental Hospital of Zanzibar , Kidongo Chekundu, built in 1947 during the British colonial period has been in dire need of funding for a long time. Hence Explore Zanzibar took the initiative to raise funds so as to bring about a change. Maryam Olsen,...

    Full Story

  • Ditto kajitoa La Familia..

    Ditto kajitoa La Familia..

    Ditto aliyekuwa mmoja wa memba wa La Familia iliyo chini ya Chid Beenz aamua kujiengua kundini na kusema kuwa amesign out na hatohusika na jambo lolote lile linalohusiana na La Familia. “Kuanzia tarehe28.7.2009 nimejitoa ndani ya kundi na sitahusika na jambo lolote la La Familia,nafikiria...

    Full Story

  • Its Drake….

    Its Drake….

    Single yake ya kwanza ilikuwa ni Replacement Girl” ambayo alitoa mwaka 07 lakini haikuweza kubamba…Huyu ni Drake mzaliwa wa Canada ambaye kwa sasa anatamba na “Best I Ever Had” na vilevile kushirikishwa kwenye wimbo ‘Every Girl’ wa Lil Wayne pamoja na Young Money… Yupo chini ya...

    Full Story

  • Ni summer hair style tu!

    Ni summer hair style tu!

    Kumbe kuna summer hair style jamani! Pichani mwanamuziki Ciara akiwa ana nywele fupi na ndefu. Watu walihoji muonekano wake huo mpya wa nywele na Hair stylish wake, Kiyah Wright alisema kuwa muonekano huo wa nywele fupi ni wigi tu alilolivaa kwakuwa ni kipindi cha joto...

    Full Story

  • Unawakumbuka hawa na ‘The Boy is Mine?

    Unawakumbuka hawa na ‘The Boy is Mine?

    Ni Monica Anorld na Brandy ambao walikubalika sana na ‘The Boy Is Mine‘ miaka ya nyuma kidogo.. Kuna habari kuwa wanataka kufanya duet yaani wimbo wa pamoja tena, Je wataweza kuweka record za ‘The Boy Is Mine‘

    Full Story

  • Ujio Mpya wa Vicky Kamata

    Ujio Mpya wa Vicky Kamata

    Lazima utakuwa unakumbuka wimbo ‘Wanawake na Maendeleo‘ ambao miaka ya nyuma kidogo ulitokewa kupendwa sana na hata kutumiwa kwenye kampeni za chama cha Wanawake na maendeleo.. Kwa takribani miaka miwili alikuwa masomoni nje ya nchi na kwa sasa yupo nchini baada ya kumaliza masomo yake....

    Full Story

  • New product from Mbeya.

    New product from Mbeya.

    A new product kutoka Mbeya, Izzo B yuko pale kwa MJ Rec akimalizia album yake ya kwanza. Kwa kukukumbusha tu Izzo aliwin deal ya kurecord albam nzima chini ya lebo ya MJ baada ya kushinda kwenye tamasha la Fiesta mwaka jana. Izzo imetoa wimbo mpya...

    Full Story

  • Maisha sio sawa,take a look…

    Maisha sio sawa,take a look…

    Ni baadhi ya mambo ambayo yanatokea katika jamii yetu..

    Full Story

  • Bongo Facebook Party!

    Bongo Facebook Party!

    You are Invited to Join us for BONGO FACEBOOK PARTY -PEACOCK HOTEL MILLENIUM TOWER in Dar es Salaam,Tanzania on Sat August 8th 2009 From 2pm til 8pm. Lets Get Together, Hang Out With Friends, Eat, Drink, Meet New People and Have FunFollowed By Night Of...

    Full Story

  • Yupi bora zaidi?

    Yupi bora zaidi?

    Kila mtu ana choice na kile akipendacho,Je wewe unapenda mwanamke aweje?Kibonge au skinny??

    Full Story