About Angalia Bongo
Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with what is on my mind..İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian... Love friends and believe to DİE with something as was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me.Anyting contact;angaliabongo@yahoo.com Thanks for passing by xoxox..... Read More
Sikiliza BongoFlava
Blogroll
- Africa Bambataa
- Afrojam
- Anh Vu
- Blazing Zone
- Bongo Celebrity
- Bongo Star Link
- Candy World
- Changamoto
- Dee
- Dina Marios
- Fashion Junkii
- Jamii Forums
- Jiachie
- John Kitime
- Karibu Nyasa
- Kisima Cha Fikra
- Kulikoni Ughaibuni
- Ladies Stuff
- Loveness Luv
- Maisha na Mafanikio
- Matukio UK
- Mtaa Kwa Mtaa
- Sauti za Bongo
- Shamim
- Sheria na Mavazi
- Simon
- Subi
- Swagga Bovu
- Total Knockout
- U-TURN
- Viva Afrika
Archive for August, 2009
-
From Mdau
Posted on August 17, 2009 | 6 CommentsNimekaa nimefikiria baada ya majadiliano na muungwana mmoja, nimejiuliza hivi ma A-list celebrities wa Tanzania ni kina nani? Namaanisha wale ambao wakitokea sehemu basi watazongwa na washabiki, wahandishi wahabari na mapaparazzi? **Majadiliano yalianza baada ya kuona umati wa watu waliokwenda uwanja wa ndege kumpokea Hasheem... -
Zombe na wenzake Nje leo….
Posted on August 17, 2009 | No CommentsJibu limepatika leo baada ya miaka mitatu iliyopita ambapo watuhumiwa nane wa kesi ya mauaji wakiongezwa na Abdallah Zombe waachiwa huru leo. Zombe na wenzake walikuwa akituhumiwa kuwaua kwa kukusudia Sabinus Chigumbi, maarufu kama Jongo na ndugu yake Ephrahim Chigumbi na Mathias Lunkombe ambao walikuwa... -
Huyu ndiye Pipi Ya Minti
Posted on August 13, 2009 | No Comments‘Njia Panda’ ndio wimbo uliomtoa Pipi na Barnabas…Pichqani akiwa kwenye pozi. Picha kwa hisani ya Globalpublisherstz.co, -
Mdimu kwenye BSS
Posted on August 13, 2009 | No CommentsMwenyewe anadai kuwa anajua kuimba na hivyo ameamua kuingia rasmi kwenye game..Nimemwambia mimi nitajitahidi kutoa promo kitaani…..This Is Henry Mdimu unaweza ukampata kupitia www.henrymdimu.blogspot.com -
Pole kwa Saigon
Posted on August 13, 2009 | No CommentsMke wa aliyewahi kuwa rapa wa Diplomat na mtangazaji wa kituo cha EATV nchini Saigon afariki dunia hapa jijini juzi,kumbuka ni mwezi tu tokea Saigon afunge ndoa na mkewe huko mkoani Iringa. Angaliabongo haijaweza kupata habari zaidi juu ya kifo cha mke wa Saigon ila... -
Cpwaa na Problem yake.
Posted on August 12, 2009 | 1 CommentMaster of crunk Bongo,Cpwaa,Cp anayetamba na ‘Problem’ aleta mapinduzi mapya kwenye muziki aina ya crank. Ana staili ya kipekee ambapo hapo mwanzo alikuwa haeleweki lakini sasa ameonekana kueleweka na aina hiyo ya muziki anayoimba kuanza kuigwa na wanamuziki wengine. Alianza na Six In The Morning’... -
Tuzo za Vinara 2009
Posted on August 11, 2009 | No CommentsMchakato wa kutafuta vinara wa filamu Tanzania kwa mwaka huu utawahusisha wananchi kupitia upigaji kura. Wapenzi wa tasnia ya filamu nchini watapendekeza filamu ambazo wanaona zinastahili kuingia tuzo za vinara wa filamu. Mbali an wananchi pia kuna taasisi mbali mbali kama vile kampuni ya uhasibu... -
Its a baby boy!
Posted on August 11, 2009 | No CommentsMwanamuziki wa rnb nchini Marekani,Jeniffer Hudson apata mtoto wa kiume aliyempa jina la David Otunga Jr mwishoni mwa wiki iliyopita. Baba wa mtoto amedai kuwa wameamua kumpa jina hilo kwakuwa he took after him completely!! -
Iluminata,Wish you the Best
Posted on August 11, 2009 | No CommentsYupo kwenye nafasi nzuri na tunachotakiwa sasa ni kumuomba Mungu,mshiriki wetu,Iluminata aweze kufanya vizuri kwenye mashindano ya kumtafuta Miss Universe mwaka 2009. -
Wanahabari wote,Muhimu.
Posted on August 11, 2009 | No CommentsJe wewe ni mwanablogu (Blogger) au mdau wa habari na mawasiliano kwa umma kwa kutumia mtandao? Kama jibu ni ndio, tafadhali unaombwa kujiorodhesha kwa ajili ya maandalizi ya Kongamano Maalumu la Kitaifa kwa ajili Wanablogu (Bloggers) na wadau wa habari na mawasiliano wa Tanzania (Tanzanians...
