Baada ya kukata rasta kinachofuata ni….


Baada ya kunyoa rasta zake alizodumu nazo kwa takribani miaka kumi,Q-Chillah anatarajia kuchora tattoo kichwa kizima.
Msanii huyo anayetamba na wimbo wa ‘Mchiriku’ alisema kuwa anataka kuwa na style ya kivyake hivyo hajali yale watakayosema watu kuhusu maamuzi yake hayo ya kuchora tatuu kichwani.

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. miss east africa kujinyakulia vogue
  2. Jay Z alinibadilikia baada ya kuwa mtawala Def Jam.
  3. Blue adondosha mpya baada ya ‘Tabasam’
  4. Amrudia Mungu,ataka kusomea lugha.
  5. Baada ya shule..Kinachofuata ni…

About the Author