
Kifo cha mfalme wa muziki wa Pop duniani,Michael Jackson kimepokelwa kwa majonzi kwa kila mpenzi wa muziki duniani..
Ni kati ya wanamuziki ambao wameweza kujenga majina yao duniani na kuwez akukubalika,kwa kifupi Michael Jackson alikuwa na nyota ya kipekee kwenye medani ya muziki.
Apart from that alikuwa amejiandaa kwa ajili ya kurudi tena kwenye gemu na tour yake ya kwanza ilitakiwa kuanza huko nchini Uingereza tarehe 13 mwezi ujao.
Related posts:

i will really miss the King of Pop. michael jackson is truly the best pop artist in this lifetime.;;”