Kujitolea muhimu kwa jamii!

Sio lazima ulazimishwe,ni hiari yako kuchangia damu kwa wale ambao wanahitaji.Jana ilikuwa siku maalumu ya kuchangia damu duniani na timu ya Clouds Fm ilitinga kujitolea kutoa damu.
Pichani Antonio Nugaz,Sophia Kessy,Brand Manager wangu na Mimi baada ya kumaliza zoezi lililotupeleka viwanja va Karume.

Malkia Sophia mwana wa Kessy akiwa anajistukia flani hivi baada ya kumaliza kutoa damu.

XXL,From left ni Ncha Kali,Shadeiya,Fetty na Dozen wakishow some love baada ya kumaliza zoezi

Kazi ya kutoa damu sio mchezo,baada ya zoezi la kutoa damu tulienda moja kwa moja mpaka kunako Hugo pale Kinondoni na kuanza kutengezeza shavu kidogo

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. Malkia wa ‘Afrika Bambataa’
  2. De Plaizir atua Bongo
  3. Happy Bday B 12!
  4. Kitu cha dawa muhimu safarini!
  5. Creativity Muhimu kwenye Biashara!

About the Author