Sehemu ya Kuwepo!

3 Jun

wadada waki shooo luv kwa jengo jipya la 88.4 clouds fm mitaa ya mikocheni ambapo makazi mapya ya radio hiyo imehamia huko,pichani ni sarah na mchiz wake waki show luv kwa wapenz na washabiki wa 88.4 waki show luv,lol clouds fm
16 Responses for "jengo jipya na mambo mapya,88.4 clouds fm radio"
Amani, Heshima na Upendo kwako.
Licha ya kazi nzuri, napenda kukupongeza kwa kuwa na mtazamo mpya na wa kuvutia. Kazi njema sana toka kwa Kaka Rama Msangi nanyi wana Angalia Bongo kwa kufanikisha usanifu huu mzuri na wa kuvutia.
Pamoja Daima
Justy es namtaka huyo demu hapo nipe no yake mpe kibua nitachukua kwake sawa justy?mimi Ni T mumewe muambie hivyo kbua hehe
The butta!!
habari za kazi me ni moja kati ya wasikilizaji wenu na naipenda radio yenu lakini nilikuwa naomba mtutafutie japo saa 1 au nusu saa tuweze kupata kipindi cha mawadha ya kiislamu itakuwa mwake, hongereni n kazeni buti
Kwanza niseme yani kwakifupi mmepiga tata bira aibu imewashika wao.Shukurani nzangu za zati kabisa kwa uongozi wajuu adi wachini 88.4 kwamaana mmetufanya mashabiki tusuuze roozete tatibuuuu ayonajua nimwazo mtatufikia zaidi na zaidi ila msilewe sifa mpaka mkaaza za lau mtuonyeshe kwamba niwatu makini wenye kujua kazi zenu kwa mapana zaidi.Chamwisho ongezeni juudi katika kazi zenu kwanini tusiwe kama cnn bbs nk tulusheni wana.bg kwa watangazaji wote wa 88.4 clouds fm tz,wana wote wa KBT yani kimara baruti,Manyankee bon
napenda kusema kuna v2 vnafanyika cjapenda nimetembelea http://www.cloudsfm kipanya fina wapo bado wanahusika huko au then sisi huwa 2kicfiwa sana 2najisahau sasa msibaki na mjengo kuusifia mkasahau ushindani pia ni2miwe crew ya clouds wote i.e photos nasikiliza sana clouds kwa sasa niko kijijini mosh its me mr village Sir P HUKU INASHIKA PIA ila mko juu sana
lukumass@yahoo.com kwa ombi
hivi ni vp washikaji hiyo clouds tv mwaka wa kumi cjui sasa du ipo kwenye mchakato kama mipamgo ya serikali ya bongo ?????? du
Oya kiukweli mnatisha na mnakubalika ila nilitaka kujua lile gari la feasta kapewa nanani au megawana mana watu tulikuwa tumesha kolea nazi alafu washikaji metulusha kama vipi barida ila nawakubali kinoma mwendo uouo mpaka clouds tv
Mwanzo mwesho sana tu.
Wajomba mambo vipi ivi lile gari la feasta mme gawana au ndio mpango mzima mana mlitulusha
mnatisha sana wazazi ndani ya nyumba kubwa hile hile ya bulurudani nakupa bg up fetty kwa kazi yako dada
samahan jaman mm ni mfatiliaji mzuri wa kipind cha power break fast kulikuwa na kipind cha profession approach vp sikuhzi sikiskii vp kimeishia wp
Bigup sana kipindi cha xxxl vina mnaweza kazi ,cna mengi nawatakia maisha malefu hili tuendelee kuwasikiliza, mpango mzima.
big up sana ze pipo station mnatisha simba kwenu mchumba.
mungu awajalie muendee kuuwa juu mpango mzima wa kazii mko juu safiiiiiiiiii!
Leave a reply