Archive for May, 2009

  • Ngasa ajipatia jiko.

    Ngasa ajipatia jiko.

    Kiungo tegemezi cha timu ya Yanga, Mrisho Ngassa hapo jana alitoka rasmi kwenye chama cha mabachela kwa namba hiyo kiuongo huyu amefunga ndoa Latifah Abdulhaman. Ngassa alikuwa nchini Uingereza kufanya majaribio ya kuchezea timu ya West Ham. Habari zinapasha kwamba sehemu ya kwanza ya majaribio...

    Full Story

  • Nas,Kellis kuachana?!

    Nas,Kellis kuachana?!

    Mwanamuziki Kellis ambaye aliwahi kutamba na wimbo ‘Bossy’ adaiwa kutaka talaka kutoka kwa mumewe ambaye pia ni rapa maarufu duniani Nas Escober.Ingawa Kellis ana mimba ya miezi saba lakini adaiwa kukerwa na mume wake huyo ambaye yeye anaona mapenzi yameisha hivyo ni heri watalikiane.

    Full Story

  • Mrisho Mpoto nae kukamua Tuzo za Wanafunzi Tz

    Mrisho Mpoto nae kukamua Tuzo za Wanafunzi Tz

    Mwanamashairi,Mrisho Mpoto nae anatarajia kutumbuiza kwenye sherehe za kutoa tuzo kwa wanafunzi waliofanya vizuri’Tuzo za Elimu Tz’Mbali na Mrisho wasanii wengine wanaotarajia kutumbuiza siku hiyo ni pamoja na Makamua,QJ,Prof Jay pamoja na kundi zima la Bongo Dsaalam

    Full Story