About Angalia Bongo
Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with what is on my mind..İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian... Love friends and believe to DİE with something as was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me.Anyting contact;angaliabongo@yahoo.com Thanks for passing by xoxox..... Read More
Sikiliza BongoFlava
Blogroll
- Africa Bambataa
- Afrojam
- Anh Vu
- Blazing Zone
- Bongo Celebrity
- Bongo Star Link
- Candy World
- Changamoto
- Dee
- Dina Marios
- Fashion Junkii
- Jamii Forums
- Jiachie
- John Kitime
- Karibu Nyasa
- Kisima Cha Fikra
- Kulikoni Ughaibuni
- Ladies Stuff
- Loveness Luv
- Maisha na Mafanikio
- Matukio UK
- Mtaa Kwa Mtaa
- Sauti za Bongo
- Shamim
- Sheria na Mavazi
- Simon
- Subi
- Swagga Bovu
- Total Knockout
- U-TURN
- Viva Afrika
Archive for May, 2009
-
Kila mtu anachunga mali yake!
Posted on May 14, 2009 | No CommentsUmeiona hii?wizi umekithiri jamani mpaka mtu anaona ni heri alinde mali yake na kufuli ili mjanja asikimbie nazo! -
Rick Ross apiga vitu feki!
Posted on May 13, 2009 | No CommentsJamani nimeitoa kwenye moja ya mtandao maarufu kuwa mtu mzima Rick Ross alitinga miwani feki kwenye gazeti la XXL issue ya May naaa wakubwa wa LV waliamua kuandika barua kwa editor wa XXL kuhusiana na jambo hiloooo…HEBU cheki hiyoDear Editor:We were dismayed to see the... -
Miss Kigamboni,Ukonga kuwa Talk Of The Town mwaka huu!
Posted on May 13, 2009 | No CommentsHawa ndiyo wanakamati wa maandalizi ya mashindano hayo kutoka Kampuni ya Bongo5 ambayo ndiyo itaandaa mashindano ya urembo katika vitongoji vya Ukonga na Kigamboni leo imefanya mkutano na waandishim wa habari katika Mgahawa wa Hadees Fast Food jijini Dar na kutangaza tarehe ambazo mashindano hayo... -
Allain Mulumba wa Diamond Sound
Posted on May 11, 2009 | No CommentsUnakumbuka enzi za ‘Kizaizai Silent In?,Allain Mulumba ndiye alikuwa dogo kuliko wote ndani ya bendi ya Diamond Sound,Wana wa Kibinda Nkoi…Mulumba alitamba sana miaka hiyo. -
B-Band siwezi kuikacha kamwe-Banana
Posted on May 11, 2009 | No CommentsBanana atoa tamko rasmi kuwa hawezi kuiacha B-Band daima baada ya maneno kuzagaa mtaani kwamba anaanzisha bendi nyingine.“Siwezi kuondoka B-Band,nina mpango wa kuanzisha bndi nyingine ambayo wasanii watakuwa wanaikodi -
Alikiba akisababisha ndani ya Denmark
Posted on May 6, 2009 | 1 CommentAli Kiba anaendeleza shangwe kwenye nchi mbalimbali za huko barani Ulaya na hapa alikuwa ndnai ya Denmark akifanya makamuzi Watu walishangweka mwanzo mwisho kwa mujibu wa mdau Hassan Ngazo aliyeweza kusababisha show hiyo ya Ally Kiba -
Miss UE hiyooo!
Posted on May 6, 2009 | No CommentsHuu ndio msimu wa Mamiss na kama unavyoona safari hii wanamuziki kama Bushoke,MB Dog,pamoja na Berry Black watapamba usiku huo -
Kivazi cha Rihana hapa vipi?
Posted on May 5, 2009 | No CommentsKivazi cha Rihana (Dolce & Gabanna).Vipi imekaaje kaaje hii? -
Q-Chief awatolea uvivu wabaya wake
Posted on May 5, 2009 | 1 CommentBaaada ya kusimangwa kila kona kwamba kaolewa na mwanamke aliyemzidi umri wa miaka kumi mbele,Q-Chief awatolea uvivu watu wote wanaomfuatilia maisha yake na kusema yeye hajali hilo kwakuwa mapenzi hayachagui na ana uhuru wa kupenda mwanamke kutoka taifa lolote alitakalo.“Sijazuiwa kupenda mtu hivyo nina uhuru... -
Rose Mhando apata tuzo nchini Kenya
Posted on May 5, 2009 | No CommentsGospel singer Rose Muhando receives her award for Artist/Group of the Year -Tanzania at the Groove Awards on last Saturday at the Kenyatta International Conference Centre.In our country nakumbuka alipata tuzo ya mwanamuziki wa Gospel miaka miwili iliyopita.Anstahili pongezi kwakuwa ameonekana kukubalika hata nje ya...
