Scheta The Boy aka Soulja Boy wa Bongo…


Kwa jina anakwenda kama Nurdin ila wengi wanamfahamu kama Scheta au Soulja Boy wa Bongo..Huyu ni msanii chipukizi kabisa anayetamba na ngoma ya ‘Wadhifa’ aliomshirikisha Noorah na Richard…Anasema anamzimia sana Soulja Boy na ndiyo maaana muonekano wake upo kama Soulja Boy Tell Em……..Mpango wake wa baadaye ni kufikia anga za kimataifa na kuweza kufanya ngoma na Soulja Boy.

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. Ni summer hair style tu!
  2. Is this cool for HipHop legendariez to diss the upcomings? !
  3. De Plaizir kurudi Tz
  4. Ras Makunja na Kikosi chake The Ngoma Africa wamefanya kweli
  5. Soulja Boy Sentenced To 12 Months Probation

About the Author