Kwa jina anakwenda kama Nurdin ila wengi wanamfahamu kama Scheta au Soulja Boy wa Bongo..Huyu ni msanii chipukizi kabisa anayetamba na ngoma ya ‘Wadhifa’ aliomshirikisha Noorah na Richard…Anasema anamzimia sana Soulja Boy na ndiyo maaana muonekano wake upo kama Soulja Boy Tell Em……..Mpango wake wa baadaye ni kufikia anga za kimataifa na kuweza kufanya ngoma na Soulja Boy.
Related posts:
