
msanii ambwene yesaya amechaguliwa kuwa balozi wa malta kutoka tanzania,hivi karibuni wanatarajiwa kufanya matangazo ya kinywaji hicho kisicho na kilevi kinachoaminika kuleta nguvu mwilini,picha na sauti za msanii huyu zitaaanza kutumika katika matangazo hivi karibuni
Related posts:
