p wa majani akanusha kukana vichwa vya bongo records

producer na mmiliki wa studio za bongo records zilizopo mitaa ya bamaga sinza,alipatwa na shutuma za kuwamwaga wasanii wake vinara ambao ni juma nature na ferooz siku ya uzinduzi wa albuma zao pale diamond jubilee ambapo nature alizindua tugawane umaskini na ferooz akizindua sauti na vyombo,katika hali isiyotarajiwa majani hakutokea ukumbini na ivyo kupelekea watu kushtuka na kuanza kuhoji kulikoni majani awatose vinara wake hao wa bongo records?lakini hadi tunaondoa camera yetu katika eneo la tukio ilisemekana p funk alikua bussy na bongo star search kwani yeye ni kama jaji katika usahili huo wa kusaka vipaji

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. KamaKawa Records Likizoni..
  2. m chali amaliza mkataba na mj records
  3. Tuzo za Vinara 2009
  4. Squezer na Steve kwa Majani kusababisha.

About the Author