Archive for May 19th, 2009

  • Ally Rehmtullah’s DELECTABLES!

    Ally Rehmtullah’s DELECTABLES!

    Hakikisha hukosi show hii ya young designer Ally Rehmtullah on the 23rd of this month..

    Full Story

  • Real Love for J Dupri na Janet Jackson

    Real Love for J Dupri na Janet Jackson

    Ingawa hawajafunga ndoa lakini inaonekana kama JDupri na J.Jackson kuachana itakuwa vigumu sana.Pichani JDupri akiwa amejichora Tatuu yenye sura ya Janet Jackson kwenye ubavu wakeVilevile inasemekana kwamba J.Jackson ana ujauzito wa JDupri ingawa haijatangazwa rasmi.Hata hivyo ni vizuri kwa J.Dupri kuonesha penzi lake la dhati...

    Full Story

  • Msanii wa Akon,Dolla apigwa risasi.

    Msanii wa Akon,Dolla apigwa risasi.

    Akon’s Konvict Musik artist Dolla was shot and killed in broad daylight at the Beverly Center shopping mall in LA today. Sources on the ground in LA exclusively tell Bossip that the Atlanta rapper and former Sean Jean model was shot in the head over...

    Full Story

  • Baba Levo nje ya TMK Halisi..

    Baba Levo nje ya TMK Halisi..

    Ikiwa ni siku kama tatu baada ya wanaume halisi kupata kipigo bagamoyo mmoja wa wanaounda kundi hilo BABA LEVO aamua kujitoa.leo hii atakua na kikao kujua kama kuna sababu za msingi za nature kutokufika kwenye show mpaka kuambulia kipigo kutoka kwa wananchi na kama atakua...

    Full Story

  • Cpwaa all the Best,Go On…

    Cpwaa all the Best,Go On…

    Anasema yeye anafanya advance bongo flava na hivi navyokwambia,Cpwaa aka C to The Pwaa yupo studio kutengeneza crunk ya ukweli anayomshirikisha mwanamuziki mwenye uraia wa Germany..Kwa mujibu wa Cpwaa anadai the song will be ready on air so so soon,so Crunk fans wakae tayari kwa...

    Full Story

  • Fujo kubwa huko Bagamoyo iliyosababishwa na JNature.

    Fujo kubwa huko Bagamoyo iliyosababishwa na JNature.

    Jumamosi iliyopita, kundi la TMK Family likiongozwa na Juma Nature lilipata show Maeneo ya Bagamoyo kwenye ukumbi unaojulikana kwa jina la Sadani. Mda wa show ulipofika wanaume wakaingia jukwaani lakini cha ajabu Nature hakutokea kwenye steji ikasababisha wenzake wafanyiwe fujo na wananchi nusu wafe.Kisa cha...

    Full Story