
Mwanamuziki Kellis ambaye aliwahi kutamba na wimbo ‘Bossy’ adaiwa kutaka talaka kutoka kwa mumewe ambaye pia ni rapa maarufu duniani Nas Escober.Ingawa Kellis ana mimba ya miezi saba lakini adaiwa kukerwa na mume wake huyo ambaye yeye anaona mapenzi yameisha hivyo ni heri watalikiane.
Related posts:
