
Mwanamashairi,Mrisho Mpoto nae anatarajia kutumbuiza kwenye sherehe za kutoa tuzo kwa wanafunzi waliofanya vizuri’Tuzo za Elimu Tz’
Mbali na Mrisho wasanii wengine wanaotarajia kutumbuiza siku hiyo ni pamoja na Makamua,QJ,Prof Jay pamoja na kundi zima la Bongo Dsaalam
Related posts:
