Mabomu yalipuka huko mbagala kizuiani kwenye kambi ya jeshi
Watu watatu wafariki dunia na majeruhi kibao wakimbizwa hospitali ya temeke.
Watu mbalimbali wafurika hospitalini kuona ndugu zao
Sina la kusema wadau.Hali ilisikitisha sana..Kama unavyoona vipande vya mabomu
Hiyo ndiyo hali halisi.Chanzo kinasema mabomu yalipata joto sana iliyopelekea kulipuka.
Related posts:

POLENI SANA WA HANGA WA MLIPUKO HUO
Inasikitisha sana kuona uzembe wa baadhi ya watendaji wa bovu,na kuto zingatia kanuni na madili ya kazi inapelekea taifa kupata maafa kama hayo.Sasa imefikia hatua viongozi wa ngazi za juu wawe na utamaduni wa kuwajibika kwa kujiuzuru pindi yanapotokea maafa kwenye wizara zao.tumechoka na sababu zinazo tolewa siwezi kuwajibika kwakua sio mimi nilie tenda.sasa nani mwenye person responsibility ya wizara husika?achia ngazi waziri using’ang’anie kiti.tumechoka na siasa.