Archive for March, 2009

  • Happy Mothers Day

    Happy Mothers Day

    M is for the million things she gives her kid. O means only that she’s soft to hold. T for the things she tries to teach her kid. H is for her heart of purest gold. E for her eyes with love light shining. R...

    Full Story

  • Eti Madungu Digital imehamishiwa Kenya??

    Eti Madungu Digital imehamishiwa Kenya??

    Inasemekana kwamba producer na muimbaji Ambrose Akwabi a.k.a Dunga amehamishia mizigo yake nchini Kenya ambapo ndipo makazi yake rasmi,namaanisha alipozaliwa…Chanzo cha habari kinasema kwamba Dunga ameona ni heri arudi nyumbani na kufungua studio pande hizo..Infact, Dunga is said to be the brains behind a studio...

    Full Story

  • Is Hov becoming old to Bey?

    Is Hov becoming old to Bey?

    Picha iliyopigwa juzi tu ya rapa maarufu duniani,Jay Z….Age aint nothing,just a number but Is he becoming old to lady B?!

    Full Story

  • Mungu amlaze pema Peponi,Jade.

    Mungu amlaze pema Peponi,Jade.

    Jade Goody,nyota wa Big Brother nchini Uingereza wa mwaka 02′ afariki dunia baada ya kuugua maradhi ya kansa kwa muda mrefu.May Almight God rest her soul in Peace.

    Full Story

  • Baba wa Daz Baba auwawa!

    Baba wa Daz Baba auwawa!

    BABA mzazi wa msanii wa muziki wa bongo Fleva, David Mwanyika (Daz Baba), Selestine Mwanyika amefariki dunia baada ya kupigwa na nondo yenye ncha kali kichwani na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi.Tukio hilo la ajabu lilitokea juzi usiku majira ya saa tano baada ya majambazi...

    Full Story

  • Fashion Police…….!!

    Fashion Police…….!!

    Wadau im not into Fashion that much but…….look at Enika,how she has just messed up and say something!Wasanii wetu wa Kibongo ushauri kuhusu mavazi muhimu…..Wanamuziki wa Kibongo tafuteni watu maalumu wa kuwashauri kuhusu mavazi jamani,Huyu ni Estelle,mwanamuziki kutoka nchini Marekani,huyu anaongoza chati ya kuvaa vibaya,hapa...

    Full Story

  • Watu Walivyogawana Umaskini

    Watu Walivyogawana Umaskini

    Matonya,B12 na Adam Mchomvu wakishow Luv! From left Makamua kutoka Wakali Kwanza,Steve Tenga kutoka redio ya watu na mashabiki wakiangalia kwa umakini show inavyoenda! Juacali,mfalme wa muziki aina ya GENGE kutoka nchini Kenya akionesha ujuzi wake Kila mtu na wake na kama hana shauri yakee,sista...

    Full Story

  • Leo Nature kugawana umaskini

    Leo Nature kugawana umaskini

    Leo ndio leo,Juma Kassim Nature aka Kibla kugawana umaskini na watu wake pale Diamond Jubilee hall na Ferouz vilevile atalaunch albam yake ya pili inayoitwa ‘Sauti na Vyombo’..Wanamuziki kama Afande Sele,Fid,Makamua,Qj wataisindikiza show hii bila kumsahau mkali wa muziki wa Genge kutoka Nairobi,Juacali.Wanasema mjanja yeyote...

    Full Story

  • Sina ugomvi na Nonini-Juacali

    Sina ugomvi na Nonini-Juacali

    Mfalme wa muziki wa Genge nchini Kenya,Juacali asema ya kwamba hana ugomvi wowote na Nonini tofauti na watu wanavyozungumzia.Akiongea na angaliabongo:“Nonini ni rafiki yangu na sina ugomvi nae kabisa tofauti na watu wanavyozungumzia,nafanya aina moja ya muziki na Nonini na tunaheshimiana sana”Juacali..Mwanamuziki huyu yupo nchini...

    Full Story

  • Poor Chris Brown!

    Poor Chris Brown!

    Chris Brown,anaonekana mnyonge sana…ni kutokana na yote yaliyotokea hapo nyuma au kuna lingine?

    Full Story