
Ni mwanamuziki kutoka kundi la Wakali Kwanza na sasa wanatamba na wimbo wa ‘Natamani’
Makamua ni mmoja wa wanamuziki waliochaguliwa kuingia wkenye kinyang’anyiro cha cha tuzo za Kili.Hivyo basi kama unakubali kazi za msanii huyu mchague ili aweze kuwa msanii wako bora wa RnB hapa nchini.
Njia rahisi nenda www.kilitimetz.com na ndani yake unaweza kumpigia kura MAKAMUA.Kwa walio nchini unaweza ukatuma ujumbe mfupi kwenye simu yako,Andika neno Kili 022 makamua na utume kwenda namba 15522….
Related posts:
