Mchague Makamua Kwenye kinyang’anyiro cha Tuzo za Kili.


Ni mwanamuziki kutoka kundi la Wakali Kwanza na sasa wanatamba na wimbo wa ‘Natamani’
Makamua ni mmoja wa wanamuziki waliochaguliwa kuingia wkenye kinyang’anyiro cha cha tuzo za Kili.Hivyo basi kama unakubali kazi za msanii huyu mchague ili aweze kuwa msanii wako bora wa RnB hapa nchini.
Njia rahisi nenda www.kilitimetz.com na ndani yake unaweza kumpigia kura MAKAMUA.Kwa walio nchini unaweza ukatuma ujumbe mfupi kwenye simu yako,Andika neno Kili 022 makamua na utume kwenda namba 15522….

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. Blac kwenye tuzo za Channel O
  2. Mkali Kwanza kwenye front za magazeti ya nje
  3. Casim ndani ya Kisima Awards
  4. Tuzo za Vinara 2009
  5. My Favourates Ndani Ya Kili Awards..

About the Author