Ikiwa ni miezi michache tu tokea mwanamuziki kutoka nchini Kenya, The Cash Money Brother,Prezzo kufunga ndoa na mwanadada Daisy,wanandoa hao wamebahatika kupata mtoto wa kike na hivi navyokwambia ni kwamba Prezzo ana furaha sana na amesema watu wakae tayari kwani anatarajia kudondosha zawadi ya nguvu kwa mkewe kwa kumpatia mtoto wa Kike!!!!1Hongera Mr & Mrs Prezzo
Related posts:

M2mzima naomba uni tumia song la cmb jipya na la uswazi True Love.i will be happy kama utani2mia those track kwenye ma e-mail.