Mzuka wa TI unavyopanda jukwaani


Huyu ni nyota wa Hiphop huko pande za USA….Kwa habari tu ni kwamba King Of South ndiyo muda wake wa kutamba kama unavyomuona mzuka umepanda mpaka vest aliyovaa imechanika kutokana na mashabiki kumvuta huku na kule

Anatamba na wimbo ‘Dead and Gone’ aliompa shavu Timberlake.Unakumbuka kitambo aliachia ‘Im Sprung’??sasa amerudi kuwashika,TI vs TIP mpaka kwenye Paper Trail!

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. Luda to Quit Music?!
  2. MZUKA BAND KUZINDULIWA JUMAMOSI
  3. Nipo fiti…Banza Stone!
  4. Ujio Mpya wa Vicky Kamata
  5. Nimejifunza kujituma jukwaani-Ally Kiba

About the Author