
Kwakweli najiskia vibaya kutokana na habari ambayo nimeipokea hii leo kuhusu jirani yangu,rafiki yangu na kama dada yangu aliyekuwa ananipa mwongozo mzuri ndani ya kazi yangu kufariki Dunia,Ni Rehema Mwakangale.
Mtangazaji wa kituo cha televisheni cha ITV kilichopo hapa mjini,Nimeumia sana kwakweli….
Msiba upo nyumbani kwa bibi yake na shughuli za maazishi zinaendelea Sinza Madukani karibu na Deluxe Hotel..Mungu Ailaze Roho ya Rehema mahala pema peponi.
Related posts:

nasikia uchungu kuandika ila lt me js live a commment….il rmember cuzin kinoma…koz u was wun of thos niliyokuw nimezeana nao…..1 day tutakuja kuonana tena i miss u…..and brenda,afro,ritha,poleni saaaaaaaaaaaaana ndugu zangu…japokuwa hatupo wote TZ ila msiba umetugusa sanaa expc mama ambaya yupo kazinai now….BWANA ALITOWA NA BWANA AKATWAA jina lake litimizwe….EMEN.
MUNGU NI MUWEZA WA YOTE, ALITOA NA AMETWAA JINA LAKE LIBARIKIWE