
Jaydee a.k.a Binti Komando ameibuka na kukanusha uvumi uliojitokeza siku za karibuni kwa kudai kuwa anaachana na mpango wa kutoa album.
“hakuna kitu kama hicho kuwa mimi sitatoa album, ni uzushi ambao sijui umetokea wapi na umeanzia wapi, nitasemaje kuwa sitoi tena album wakati ndio kazi yangu?, sema majukumu kidogo yamekua mengi kwahiyo nitachukua muda kidogo kutoa album ila MAPINDUZI yanaendelea.
Related posts:

kama zina faida we toa tu,uko juu sana angalia ngazi isikatwe uanguke one love.