
Ni kiume kiishicho majini na kinaongoza kwa kuogopeka kwakuwa hakina huruma na kinapenda sana kuishi mtoni..naambiwa ‘Usimtukane Mamba kabla ya kuvuka Mto’ kwakuwa akikukamata hakuna mswalia mtume.Kiumbe mwingine ambaye naye anaogopeka ni Kiboko,,huyu kweli ni kiboko kwakuwa hakuna zaidi yake.
Related posts:
