About Angalia Bongo
Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with what is on my mind..İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian... Love friends and believe to DİE with something as was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me.Anyting contact;angaliabongo@yahoo.com Thanks for passing by xoxox..... Read More
Sikiliza BongoFlava
Blogroll
- Africa Bambataa
- Afrojam
- Anh Vu
- Blazing Zone
- Bongo Celebrity
- Bongo Star Link
- Candy World
- Changamoto
- Dee
- Dina Marios
- Fashion Junkii
- Jamii Forums
- Jiachie
- John Kitime
- Karibu Nyasa
- Kisima Cha Fikra
- Kulikoni Ughaibuni
- Ladies Stuff
- Loveness Luv
- Maisha na Mafanikio
- Matukio UK
- Mtaa Kwa Mtaa
- Sauti za Bongo
- Shamim
- Sheria na Mavazi
- Simon
- Subi
- Swagga Bovu
- Total Knockout
- U-TURN
- Viva Afrika
Archive for January 14th, 2009
-
Natamani kuirudisha ‘Mafahari Watatu’-Choki
Posted on January 14, 2009 | 2 CommentsRais wa bendi ya T-Respect,Ally Choki atamani kurudisha kundi lao la ‘Mafahari Watatu’ lililokuwa linaundwa na Banza Stone,Muumini pamoja na yeye.Choki alisema kwamba kama mfadhili yeyote akitokea kuwadhamini basi yupo radhi kuwatafuta wenzake walipo na kuweza kuungana ili kutengeneza kitu tofauti.Kumbuka kundi hili la Mafahari... -
Anayetuliza fujo nchini
Posted on January 14, 2009 | 2 CommentsNi mmoja wa askari kutoka FFU akiwa anasikiliza amri kutoka kwa kamanda.FFU ni kikosi cha kutuliza ghasia nchini. -
Hii ndiyo foleni ya Ubungo…
Posted on January 14, 2009 | 1 CommentFoleni ya magari imekuwa ni tatizo kubwa nchini hasa mjini Dar-Es-salaam,kama unavyoona kwenye picha,ni foleni barabara ya Morogoro na Mandela.Nini kifanyike ili tatizo ili liweze tatuliwa baada ya njia tatu? -
Bosi wa Richmond kortini..
Posted on January 14, 2009 | 1 CommentHuyu ndiye bosi wa kampuni ya Richmond Development,Naeem Adam Gire ametimba kizimbani kujibu shtaka la kughushi na kutoa taarifa za uongo kuhusu uwezo wa Kampuni hiyo. -
Balozi wa Uzazi salama
Posted on January 14, 2009 | 1 CommentNyota wa ‘Tupendane’,namzungumzia Stara Thomas ambaye pia ni balozi wa Uzazi Salama akizungumza jambo katika studio za Clouds Fm.Habari hii kwa hisani ya Michuzijr.Mbali na hayo,mwanamama huyu mwenye watoto wawili anatarajia kutoa single yake ya kwanza ndani ya mwaka huu,’Nini Sina’ aliyofanya studio za Fishcrab… -
Congratulations Jaheim
Posted on January 14, 2009 | 3 CommentsNatoa pongezi kwa my friend Jaheim kwa kupata cute baby girl,Susana.Mungu amzidishie heri na maisha marefu mtoto huyu!Shes so lovely!~ -
Usafi Ndio huu…
Posted on January 14, 2009 | 1 CommentVijana wa aina hii wapo kwenye kila sehemu za barabara kubwa hapa mjini.Hujitolea kusafisha magari bila kuamriwa na baadaye kwa huruma yako unaweza ukawapa chochote.Vijana wanahitaji ajira.
