About Angalia Bongo
Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with what is on my mind..İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian... Love friends and believe to DİE with something as was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me.Anyting contact;angaliabongo@yahoo.com Thanks for passing by xoxox..... Read More
Sikiliza BongoFlava
Blogroll
- Africa Bambataa
- Afrojam
- Anh Vu
- Blazing Zone
- Bongo Celebrity
- Bongo Star Link
- Candy World
- Changamoto
- Dee
- Dina Marios
- Fashion Junkii
- Jamii Forums
- Jiachie
- John Kitime
- Karibu Nyasa
- Kisima Cha Fikra
- Kulikoni Ughaibuni
- Ladies Stuff
- Loveness Luv
- Maisha na Mafanikio
- Matukio UK
- Mtaa Kwa Mtaa
- Sauti za Bongo
- Shamim
- Sheria na Mavazi
- Simon
- Subi
- Swagga Bovu
- Total Knockout
- U-TURN
- Viva Afrika
Archive for December, 2008
-
Kijiji cha makumbusho!
Posted on December 4, 2008 | No CommentsNilitembelea kijiji cha Makumbusho jana,na kuona marekebisho yanafanyika ya hapa na pale,nadhani tumejifunza na sasa tunataka kuboresha sehemu zetu muhimu za nchi ambazo ndio vivutio vikubwa kwa watalii wanaotembelea nchini.! -
Posted on December 4, 2008 | 1 CommentHabari zaidi kutoka kwa Husein Ngazo ni kwamba Matonya anafanya vizuri kwenye ziara yake huko barani Ulaya…Bila kusahau tarifa nilizozipokea ni kwamba Matonya akirudi kutoka ziara hiyo anatarajia kufunga ndoa na binti ambaye amekaaa kumuweka wazi,mimi nimealikwa jamaniiii!
-
Chris Brown akijiachia na yeye pande zake
Posted on December 1, 2008 | 1 CommentChris Brown akiwa amejiachia pande zake na mbwa wake,Lol,Rihana’s right hand!Hivi ni kweli anatarajia kuitwa dad hivi karibuni au ni rumours?!sina jibu,Thats Chris Brown! -
‘Usiku wa Kujiachia na Ndovu’
Posted on December 1, 2008 | 1 CommentMwezi disemba umewadia,na kila kona kuna pilikapilika za hapa na pale,kwenye kona ya starehe ndio usiseme,kila kona unaskia kuna tafrani flani imetokea.Sasa moja kwa moja pande za Dodoma,siku ya tarehe ishirini na nne mwezi huu kuna bonge ya Event inafanyika pande zile utakaojulikana kama ‘Usiku...
