Angalia Bongo

Sehemu ya Kuwepo!

Archive for December, 2008


Ni Lamar Lambashy..mtoto wa kwanza kabisa kutoka familia ya Mzee Lambashy.Kipaji chake kilianza kuonekana akiwa na Majani,aka P-Funk.Kwa mujibu was Lamar anasema kwamba Majani ndiyo aliyeweza kuinua kipaji chake.Baada ya kukaa na Majani,akaamua kwenda pande za Mandugu Digital ambapo hakuweza kukaa sana na sasa navyokuletea habari hii,Lamar ana studio yake binafsi inayoitwa ‘FISHSCRUB’ na kashatengeneza ngoma kibao…..

  • 5 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Viongozi wetu wanafanya nini?!


    Hali halisi ndiyo hii,ni daraja moja maeneo ya Mabibo likiwa kwenye hali hiyo.Kuna mbunge wa eneo hili lakini hali ndiyo hii…

  • 1 Comment
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Bilcanas ya leo ndiyo hii hapa!


    ni club bilcanas,inafunguliwa mkesha wa mwaka mpya,jamani inavutia sana na nina uhakika kwamba ni club bora kabisa hapa nchini kwa hatua iliyofikia.

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo

  • Mahujaji,wale wanaoenda Hija,kuhiji wakiwa uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar-Es-Salaam

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Ni uharibifu au???


    Hapa kinajengwa kitu au kinabommolewa kitu?!

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Tufanye kazi ndg yangu!


    wazee wakimenya njegere na baadaye kuziuza zikiwa tayari zimeshatolewa maganda yake,ilikuwa ni mitaa ya kariakoo sokoni.

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Shida ya maji Dar imeisha jana!


    Dumu moja la maji lilikuwa linauzwa mpaka shilingi elfu mbili za kitanzania,hali ilikuwa mbaya ila jana maji yameanza kutoka tena,hii ndio angaliabongo!

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo

  • Mwanamuziki wa bongo fleva nchini,Dully Sykes,atamba kupagawisha wakazi wa Dodoma kwenye tamasha lililopewa jina la ‘Usiku wa Kujiachia na Ndovu’ siku ya tarehe 24,mwezi huu ambapo itakuwa siku ya mkesha wa krismas.
    Wasanii wengine watakaokuwepo simku hiyo ni pamoja na Makamua,Mchizi Mox,Jay Moe pamoja na Ngwair.tutaonaaaaaaaaa,halaf tutakuletea kitakachojiri siku hiyo.Ila kama wewe mjanja,na unapenda starehe,unaweza ukazama pande za Dodoma kuwa pamoja na Dully na wasanii wengine ili uweze kusababisha!
    Kumbuka Usiku wa Kujiachia na Ndovu umeletwa na udhamini mkubwa wa bia uipendayo ya Ndovu Special Malt!!!!!!!!

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • Mbilia Bel Kudondoka Bongo leo.


    Mwanamama Mbilia Bel anayependa kuonekana kwenye vivazi vya kihindi,anatarajia kutua nchini leo ambapo atakuwa na show pale New World Cinema pamoja na Fally Ipupa.Natarajia kuwepo…unakaribishwa,,,kiingilio ni shilingi elfu ishirini na tano yako tu…ukiwa ndani utapata dinner,drinks na mwisho unadondoshewa bonge ya show,hutakiwi kukosa.

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • ‘Usiku wa kujiachia na Ndovu’


    mamboz!!hili ni onesho lililokusanya wanamuziki wa kizazi kipya nchini ambao ni Dully Sykes,Jay Moe,Mangwea,Mchizi Mox pamoja na Makamua na linatarajia kufanyika tarehe 24 mwezi huu ndani ya ukumbi wa ROYAL VILLAGE pale mkoani Dodoma.Zawadi mbalimbali zitatolewa kutoka kinywaji cha Ndovu Special Malt.Wakazi wa Dodoma ni zawadi maalumu kwao!wakae mkao wa kupokea vyuma hatari siku hiyo ya mkesha wa siku ya Chrismas.
    Says SarahCo-ordinator

  • 0 Comments
  • Filed under: Angalia Bongo
  • About Angalia Bongo

    Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...I would apreciate İf you can call me SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with my desicions, without forgeting İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian.Love friends and believe to DİE with something as İ was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me. Thanks for passing by xoxox..... Read More

    Have Your Say

    How Is our Website?

    View Results

    Loading ... Loading ...

    GrooveBack



    Disco bora na la kijanja nchini, pekee linalowahusisha waliokuwapo, waliopo na wanaotaka kujua kilichotokea