Archive for November, 2008

  • Rest In Peace Miriam Makeba.

    Rest In Peace Miriam Makeba.

    Atakumbukwa na mambo mengi sana,Mama Miriam Makeba alifariki hapo jana nchini Italy akiwa na umri wa miaka sabini na sita.Kama unakumbuka aliwahi kutamba na wimbo ‘Patapata’ pamoja na ‘Malaika’ ambao ulimpandisha sifa barani Afrika hata na nje ya Afrika.Mungu amlaze mahala pema,Amein.

    Full Story

  • Fiesta 2008,ilikuwa hapatoshi.

    Fiesta 2008,ilikuwa hapatoshi.

    Wazee wa Ngwasuma,walikuwa wasafi na waliweza kuwateka watazamaji kwa shoo yao nzuriNakaaya Sumari nae aliweza kupanda jukwaani na kurekisha na Mr.Politician.Kat Deluna,aliperform show nzuri sana,kwakweli ameweza kuweka historia ya mwaka 2008,Jirambe na FiestaBSasa anataka umuite The Big Blue,simsifii ila alipendeza sana mwanamuziki huyu ambaye alianza...

    Full Story

  • richie one na mamaaa mtarajiwa

    richie one na mamaaa mtarajiwa

    msanii kutoka kundi la wanaume halisi richard shauri marufu kama richie one akiwa na mkewe mtarajiwa hakuweza kuweka bayana jina la mama lakini kama mnavyoona pichani,ilikuwa mwanza kwenhe fiesta ndipo msaniii huyo alipoonekana mara kwa maa na binti huyo

    Full Story

  • juma nature apatwa na kigugumizi kuhusu inspector

    juma nature apatwa na kigugumizi kuhusu inspector

    mkali wa kwaito na kiongozi wa wanaume halisi sir juma nature alipatwa na kigugumizi na kushindwa kuweka wazi ni kitu gani kilchomfanya inspector kujitoa kundini,juma alisema kuwa jamaa hajatoka kundini ila ameamua kufanya kazi peke yake,aliulizwa kuwa msanii anapotaka kufanya kazi binafsi lazima atangaze kama...

    Full Story

  • Happ Bday Coleta!

    Happ Bday Coleta!

    A day like today,some decades passed be,A family of Mr n Mrs Mbezi were celebrating a coming of a new baby girl,thats Colleta and she waz just crying as she knew nothing,But Today,she knows something so shez there laughing as it is her Special Day,Happy...

    Full Story

  • Show ya kwanza ya Matonya ndani ya Belgium.

    Show ya kwanza ya Matonya ndani ya Belgium.

    Mawasiliano0485 741971

    Full Story

  • Ndugu wa Obama nchini Kenya ni furaha!

    Ndugu wa Obama nchini Kenya ni furaha!

    Mashabiki wakifurahia ushindi wa ObamaNdugu wa rais mpya wa Obama huko Kogelo nchini Kenya wafurahia kushinda kwa Barack Obama kiti cha urais nchini Marekani.Ndugu hao wa Obama kwa upande wa baba wamefurahia ushindi huo kwakuwa wanaamini ushindi huo ni mapinduzi tosha kiwa watu weusi.

    Full Story

  • Obama apoteza bibi yake mzazi.

    Obama apoteza bibi yake mzazi.

    Bibi wa Obama,Madelyn Dunham.May her soul rest in Peace.OBAMA AKIWA NA BABU YAKE NA MAREHEMU BIBI YAKE.Siku mbili tu kabla ya uchaguzi,mgombea wa urais nchini Marekani,Barack Obama apoteza bibi yake mzaa mama baada ya kuugua ugonjwa wa kansa kwa muda mrefu.

    Full Story

  • Ziara ya Matonya Europe.

    Ziara ya Matonya Europe.

    BIG TIME PROMOTIONS inawaletewa ‘mATONYA eUROPE tOUR 2008.Wadau wa ugahibuni kaeni mkao wa kula kwa kula na kukata shoka katika mambo ya kuendeleza libeneke la Bongo flava ya ugahibuni.Ratiba ni kama ifuatavyo:-Belgium ni 07.11.08,France 08.11.08,Finland 15.11.08,Norway 21.11.08,Berlin 22.11.08,Holland 28.11.08 na Frankfurt ni tarehe 29.11.08.Kwa maelezo...

    Full Story

  • Chid Benz aacha Muziki!?

    Chid Benz aacha Muziki!?

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida,Mwanamuziki wa kizazi kipya,Chid Benz aachia muziki baada ya kuona ya kwamba kila ishu anaandamwa yeye.Hali hiyo imetokea baada ya Chid kumpiga kibao cha uso mwanamuziki Matonya kutokana na chanzo ambacho hakikuweza kufahamika.Baaada ya tukio hilo,watu waliweza kumkanya Chid na ndipo...

    Full Story