About Angalia Bongo
Hey how you doing DEAR fan! Thanks for passing By in my world...SARAH, was born in the middle of 80’s.. By proffesion a journalist and always straight with what is on my mind..İ enjoy life to the fullest and always believe in Jesus, Remember İm a pure Christian... Love friends and believe to DİE with something as was born with NOTHİNG…İ think thats to much to know about me.Anyting contact;angaliabongo@yahoo.com Thanks for passing by xoxox..... Read More
Sikiliza BongoFlava
Blogroll
- Africa Bambataa
- Afrojam
- Anh Vu
- Blazing Zone
- Bongo Celebrity
- Bongo Star Link
- Candy World
- Changamoto
- Dee
- Dina Marios
- Fashion Junkii
- Jamii Forums
- Jiachie
- John Kitime
- Karibu Nyasa
- Kisima Cha Fikra
- Kulikoni Ughaibuni
- Ladies Stuff
- Loveness Luv
- Maisha na Mafanikio
- Matukio UK
- Mtaa Kwa Mtaa
- Sauti za Bongo
- Shamim
- Sheria na Mavazi
- Simon
- Subi
- Swagga Bovu
- Total Knockout
- U-TURN
- Viva Afrika
Archive for November, 2008
-
Vimwana wa Burundi mwaka 2008
Posted on November 18, 2008 | No CommentsHivi ndivyo vimwana kutoka pande za Burundi waliokuwa wanawania Miss Burundi mwaka huu. -
Wateule Back Again!
Posted on November 17, 2008 | No CommentsKundi la rap nchini,lililokuwa linajulikana kama ‘Wateule’ waliowahi kutamba na wimbo wa ‘Watu Kibao’ lilikuwa kimya kipindi cha kati na Mchizi Mox,mmoja wa rapa anayeunda kundi hilo kujiengua,amerudi tena kundini na inasemekana kwa pamoja,Jay Moe,Jafaray,Kevin pamoja na Solo Thang aliyeko mbelembele kutoka na albam ya... -
Msafiri Diof ndani ya Segerea
Posted on November 13, 2008 | No CommentsMsafiri Diof,rapa mashuhuri wa bendi ya Afrikan Stars,Twanga Pepeta kwa sasa nasemea ndani ya gereza la Segerea baada ya kukutwa na kosa la kumpora mtu huko mitaa ya Magomeni yeye na wenzake wawili.Diof ambaye yupo ndani tokea mwezi uliopita tarehe 14 anatarajia kusomewa mashtaka kesho... -
De Plaizir na Lady Jay D wafanya mambo!
Posted on November 13, 2008 | No CommentsMwanamuziki wa miondoko ya rhumba kutoka nchini Uingereza,Blanchard De Plaizir aachia wimbo mpya unaoitwa ‘KENDE KAKA’ aliomshirikisha mwanadada nyota kutoka nchini Lady Jay D.Wimbo huu umeimbwa kwa lugha mbili ambazo ni lugha yetu ya kiswahili na kikongo ambao umebeba meseji kali ya mtu aliyechoshwa na... -
TID apewa siku kumi tu.
Posted on November 13, 2008 | No CommentsMwanamuziki nyota wa nchini,Top In Dar(TID)apewa siku kumi tu kukamilisha maelezo yake kuhusu kukata rufaa.Maelezo hayo yatatolewa na wakili wake na baada ya hapo ataweza kusikilizwa. -
Matonya ndani ya Oslo
Posted on November 13, 2008 | No CommentsBIG TIME PROMOTIONS INAWALETEA MAMBO YA KUENDELEZA LIBENEKE LA BONGO FLAVA UGHAIBUNI, MSANII WA BONGO FLAVA” MATONYA” ANATARAJIA KUWAPAGAISHA WADAU WA MJINI OSLO NORWAY, KTK MAMBO YA KUSHEREHEKEA OBAMA NA KUKANDAMIZA BONGO FLAVA. WADAU WA BERLIN,HOLLAND NA FRANKFURT NAO WAKAE MKAO WA KULA KWANI NAKO... -
ALLY REHMTULLAH’s SWAHILI FASHION WEEK COLLECTION
Posted on November 12, 2008 | No CommentsA model passing with one of Rehmtullah’s designsFor the first time in Tanzania – Swahili Fashion Week, a two-day event which was held on the 5th and 6th of November. Guru Desginer Ally Rehmtullah from Tanzania was given the honour to open this two-day event... -
Kikosi cha Maangamizi!
Posted on November 10, 2008 | No CommentsHiki ndicho kikosi cha timu ya mpira cha Maalbino nchini.pichani wakiwa wkenye mazoezi -
Odemba ang’ara!
Posted on November 10, 2008 | No CommentsHiyo ndiyo Top 4 ya Miss Earth 2008 iliyofanyika huko Ufilipino.Mrembo aliyeteuliwa kuwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss Earth,Miriam Odemba ang’ara baada ya kuingia kwenye top 4 ya mashindano hayo na kutunukiwa taji la Miss Earth Air 2008 -
TID aachia ‘Siwezi’ akiwa jela.
Posted on November 10, 2008 | 1 CommentKatika hali ya kusikitisha,Top In Dar aonesha bado yupo fiti kwenye suala la kuimba ingawa na kuwa gerezani.Ameachia wimbo wake mpya unaoitwa ‘Siwezi’Ni ujumbe ulioandikwa na TID,akiwa gerezani.Ni wimbo mpya wa TID aliouachia UNAOITWA ‘Siwezi’.Mwanamuziki huyu yuopo gerezani akitumikia kifungo cha mwaka mmoja jela kwa...
