Nyota Ndogo,mamaa wa Watu na Viatu!


Huyu ndiye NYOTA NDOGO,mwanamuziki kutoka pande za KENYA aliyewahi kutamba na nyimbo zake kama ‘Watu na Viatu’ na ‘Nalia’
Watu wanasema huyu ndiye Lady Jay D wa Kenya,je kuna ukweli wowote hapo?Ameweza kutingisha kwenye Tamasha la Fiesta sana kwa staili yake mpya ya kupanda na madansa na kupagawisha washabiki

Share and Enjoy:
  • Print
  • Digg
  • MySpace
  • Twitter
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Google Bookmarks
  • Reddit
  • Technorati

Related posts:

  1. Mzee wa kujipaisha East Africa!
  2. New product from Mbeya.
  3. Anastahili kuwa staa mwenye mvuto Kenya??
  4. Nyota Ndogo awa mkali!
  5. Viatu Kunuka?!Mmh..

About the Author