
mwanadada mwenye kiuno kisicho mfupa rehema chalamila maarufu kama ray c yuko mbioni kufunga ndoa na mwana hip hop kutoka naco2naco lord eyez ndoa hiyo imepangwa kufanyika hapo december,ndoa zinaongezeka kwa upande wa wasaniii baada ya nature,inspector wengi wamo njiani kufanya ivyo pia temba kutoka kiumeni anatarajiwa kuoa mwezi december kama ilivyo kwa ray c
Related posts:
