Sehemu ya Kuwepo!

22 Oct

msaniii wa kike stara thomas mwana zouk maarufu nchini tanzania ameamua kurudi tena na kuamua kufanya kazi na chidy benz wa la familiah stara aliseama ujio wake uko sawa na kuwakandamiza wapinzani na wasanii wasio halisi katika game kwani mkongwe ni mkongwe na hakuna wa kubana,chidi ni mkali wa collabo mwaka 2008 2009 alina ubishi kutokana na kazi alizofanya
la familia 4rever
Leave a reply